Nimejisikia kuomba msamaha kwa kila niliyemkwaza humu JamiiForums

[emoji23] [emoji2] [emoji2] [emoji23] [emoji23] [emoji23] huwezi jua kwenye kuandika!!kuna mtu siku moja alinambia namkwaza na mwandiko wangu,mwingine nae hvyo hvyo..!!kumbe haya maandishi tu..wengine tunakwaza kumbee
Hao ndio wanakwanza...

Kwani lazima akusome?
 
[emoji23] [emoji2] [emoji2] [emoji23] [emoji23] [emoji23] huwezi jua kwenye kuandika!!kuna mtu siku moja alinambia namkwaza na mwandiko wangu,mwingine nae hvyo hvyo..!!kumbe haya maandishi tu..wengine tunakwaza kumbee

Kumbe kwenye maandishi tu?
Pole sana.
Maandishi Mengi hayabebi uhalisia wa mtu.
 
Afadhali.... Tuendelee kuheshimiana...tusije vuana nguo watu wazima.
Hahaaa....[emoji3][emoji16][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]sawa bwana daby
 
Hapana sijapretend nilitamani muda kweli niandike hivi...maisha mafupi haya kaka angu nobody knows tomorrow!!!

Yaani nilivyo ndivyo hviii!!

I can sense the truth in your tone. Unaoishi nao enjoy sana πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚
 
Hao ndio wanakwanza...

Kwani lazima akusome?
Hahaaaahaaa[emoji3][emoji3][emoji23][emoji16][emoji16]!!binadamu tunatofautiana kaka!!Mimi kila kitu nachukulia simple mnooo..kumbe wengine wana take serious mwisho mwatukanana sasa!!au wamkera mtuuu
 
Bina hujafanya vizuri kutotaja hao washkaji zako wa kiume teh

Bana bina sisi hatujawahi kukwaruzana na hata tukikwaruzana (God forbid); nafikiri mkwaruzo utaomba msamaha automatically na mambo yataendelea. So peace reigns, na uendelee tu kuwa that "strong lady". Unajua venye nakuaminia
 
Mpwa nawe unataka uwajue hao washakaji wa kiume?

Umeanza lini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…