Watu waliopigwa marufuku kuandamana maana yake wana nia ovu kwa hiyo kuna kila dalili kuna watu hawatorudi majumbani salama watavuja damuSidhani kama kisheria inaruhusiwa kupiga watu,mi mwenyewe nitakuwepo kwaajili ya kuangalia mwenendo wa maandamano.
Dogo jiandae na interview wiki ijayo waalimu mnaitwaSidhani kama kisheria inaruhusiwa kupiga watu,mi mwenyewe nitakuwepo kwaajili ya kuangalia mwenendo wa maandamano.
Hamna waandamanaji wagonjwa,akiwepo utamchangia anapotibiwa.Bora uchangie kwenye vituo vya kuchangia damu,vinaitwa vituo vya damu salama.Wanasema kutoa ni moyo na kama wanadamu tunatakiwa kusaidiana wakati wa majanga.
Kesho chadema wanaingia kufanya maandamano bila ya kuwa na kibali licha ya katazo ya jeshi la polisi hapa kuna kila dalili ya watu kupata ulemavu wa kudumu, kuvuja damu nyingi sana hivyo kwa uungwana niliokuwa nao nimejitolea kuchangia damu waandamanaji na ninaomba anaeguswa na uhitaji wa wa damu 23 September tuwasiliane tuone namna ya kufikisha damu kwa wahanga.
View attachment 3102956
MUhimbili wapo,temake wapo, na ilala wapo hata mwananyamaza wapo wahitaji wa damu.Barabarani hamna.Ubarikiwe sana kwa moyo wako waekujitolea kwa wenye uhitaji wa dharula.
ujinga mtupu polisi wajekuwapiga risasi watanzania wanaoandamana kwa amaniWanasema kutoa ni moyo na kama wanadamu tunatakiwa kusaidiana wakati wa majanga.
Kesho chadema wanaingia kufanya maandamano bila ya kuwa na kibali licha ya katazo ya jeshi la polisi hapa kuna kila dalili ya watu kupata ulemavu wa kudumu, kuvuja damu nyingi sana hivyo kwa uungwana niliokuwa nao nimejitolea kuchangia damu waandamanaji na ninaomba anaeguswa na uhitaji wa wa damu 23 September tuwasiliane tuone namna ya kufikisha damu kwa wahanga.
View attachment 3102956
Mpuuzi mwenzako ndio atakuunga mkonoWanasema kutoa ni moyo na kama wanadamu tunatakiwa kusaidiana wakati wa majanga.
Kesho chadema wanaingia kufanya maandamano bila ya kuwa na kibali licha ya katazo ya jeshi la polisi hapa kuna kila dalili ya watu kupata ulemavu wa kudumu, kuvuja damu nyingi sana hivyo kwa uungwana niliokuwa nao nimejitolea kuchangia damu waandamanaji na ninaomba anaeguswa na uhitaji wa wa damu 23 September tuwasiliane tuone namna ya kufikisha damu kwa wahanga.
View attachment 3102956
Wanapiga marufuku maandamano ya amani ndio wenye nia ovu!!Watu waliopigwa marufuku kuandamana maana yake wana nia ovu kwa hiyo kuna kila dalili kuna watu hawatorudi majumbani salama watavuja damu