Nimejiuliza sana hili Swali, ila sijapata Jibu sana sana naona najikuta Nacheka tu kila nikilifikiria Kichwani mwangu

Nimejiuliza sana hili Swali, ila sijapata Jibu sana sana naona najikuta Nacheka tu kila nikilifikiria Kichwani mwangu

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Hivi Siku mara paaaaap kwa bahati mbaya Sura zetu zote zikaonekana kwa dakika kama tano ( 5 ) katika Simu na Laptops zetu ambazo tunazitumia Kuchati au Kuandika mambo yetu mbalimbali hapa halafu Wote tukajuana kuwa kumbe ID ya fulani ni fulani itakuwaje baada ya hapo?

Ninayoyahisi........

1. Kuna ambao Gari za Polisi zitawafuata moja kwa moja Makwao kwani watakuwa wameshajulikana

2. Kuna ambao Ndoa zao Siku hiyo hiyo zinaenda Kuvunjika

3. Kuna ambao watapoteza Ajira zao huko Maofisini waliko Kwani Boss atajua nani anayemtukana JF

4. Kuna ambao watalazimika Kumalizia upesi Madeni yao kwa Kuogopa Aibu

5. Kuna ambao tutajua hata Matokeo yao ya Kitaaluma kuanzia Shule za Msingi hadi Vyuo Vikuu

6. Kuna ambao Wauza Bangi / Bange watawajua na huenda kuwapa Habari za Mzigo mpya ulioingia

7. Kuna ambao watajulikana kuwa kumbe si Wanaume au Wanawake au ni Wapiga Miluzi wakuu Mijini

Naomba tu hii Bahati mbaya isije kutokea hapa kwani nina uhakika 99% ya Watu Wataumbuka au Tutaumbuka balaa.

Kama unajijua ni mwana Simba au Yanga halafu bado huna Tiketi ya Simba Day na Wananchi Day usichangie Uzi Ok?
 
Mkuu kwahiyo kumbe nawe tukikuona uko Online hapa JamiiForums moja kwa moja tujue kuwa Unaukweka / Unakunya au?
Hahahaha
Mkuu ukiniona online jua:
1.Nipo kazini/sipo nyumbani
2.Nipo nyumbani na mwenye nyumba hayupo
3.Nipo chooni(maana wash room kwangu Kila nkiweka taa inaungua (holder mbovu) na sitaki kutengeneza hivo naitumia kama advantage hiyo naingia chooni na simu kwa kigezo cha kumulika kumbe najua mwenyewe 😅
 
Hivi Siku mara paaaaap kwa bahati mbaya Sura zetu zote zikaonekana kwa dakika kama tano ( 5 ) katika Simu na Laptops zetu ambazo tunazitumia Kuchati au Kuandika mambo yetu mbalimbali hapa halafu Wote tukajuana kuwa kumbe ID ya fulani ni fulani itakuwaje baada ya hapo?

Ninayoyahisi........

1. Kuna ambao Gari za Polisi zitawafuata moja kwa moja Makwao kwani watakuwa wameshajulikana

2. Kuna ambao Ndoa zao Siku hiyo hiyo zinaenda Kuvunjika

3. Kuna ambao watapoteza Ajira zao huko Maofisini waliko Kwani Boss atajua nani anayemtukana JF

4. Kuna ambao watalazimika Kumalizia upesi Madeni yao kwa Kuogopa Aibu

5. Kuna ambao tutajua hata Matokeo yao ya Kitaaluma kuanzia Shule za Msingi hadi Vyuo Vikuu

6. Kuna ambao Wauza Bangi / Bange watawajua na huenda kuwapa Habari za Mzigo mpya ulioingia

7. Kuna ambao watajulikana kuwa kumbe si Wanaume au Wanawake au ni Wapiga Miluzi wakuu Mijini

Naomba tu hii Bahati mbaya isije kutokea hapa kwani nina uhakika 99% ya Watu Wataumbuka au Tutaumbuka balaa.

Kama unajijua ni mwana Simba au Yanga halafu bado huna Tiketi ya Simba Day na Wananchi Day usichangie Uzi Ok?
You are being watched. The government has a secret system, a machine that spies on you every hour of every day. I know because I built it. I designed the machine to detect acts of terror but it sees everything. Violent crimes involving ordinary people, people like you. Crimes the government considered "irrelevant." They wouldn't act, so I decided I would. But I needed a partner, someone with the skills to intervene. Hunted by the authorities, we work in secret. You'll never find us, but victim or perpetrator, if your number's up... we'll find you.
 
Wale matajiri wenzangu wa jf sijui itakuaje wakati huku nyuma ya keyboard ni masikini wa kutupwa na majobless.
 
Back
Top Bottom