Nimejiuliza sana hili Swali, ila sijapata Jibu sana sana naona najikuta Nacheka tu kila nikilifikiria Kichwani mwangu

Sura zetu tutaficha wapi sijui, wengine nadhani tutakuwa tayari tushabook tiketi za kwenda ughaibuni na kuukana kabisa uraia wa Tanzania, maana unawaza nitarudi vipi Mimi?
 
Leo Most talented charsma fella umesema jambo,vipi wewe binafsi utaenda kujificha wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…