MJUMBE WA AMANI
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 262
- 238
- Thread starter
-
- #41
Mkuu nimeipenda sana hii, kumbe kuna mgawo wa majukumu? asante kwa kunijulisha mkuu.MJUMBE WA AMANI iko hivi
Pamoja na kwamba kuna members wote hao lakini wamejigawa automatically kutokana na mapenzi yao
-kuna ambao kazi yao ni kuchangia tu
-kuna ambao kazi yao ni kulike tuu
-kuna ambao kazi yao ni kusoma tuu
-kuna ambao kazi yao ni kuanzisha mada tu
Halafu kuna ambao utamkuta kwenye yote hayo hapo juu au baadhi yake
Hahahahaa loh! mkuu r.i.p. sasa hivi? umeniota vibaya nini?
Sio rasmi inatokea tu automaticallyMkuu nimeipenda sana hii, kumbe kuna mgawo wa majukumu? asante kwa kunijulisha mkuu.
Kweli mkuu, umenena vyema.Ukasuku ndio chanzo cha ugomvi na bans zisizo na msingi.Bora km huna mada ya kuongea au km huna mawazo ya kukoment unyamaze tu kuliko kupayuka maneno yasiyo na maana yyte
Ha haaa yani weweMkuu kwa kuwa sio sisi wala wewe ajuaye siku yako rasmi ya kufa basi nichukue fursa hii kukutakia R.I.P as advance just ikitokea umekufa pasi kutag marafiki zako JF!
Heh! bila shaka hao ni wale wazee wa multiple IDs....lazima uputeze memory.Wengine wamesahau pasword zao
We wacha uongo!Akifa hutomuona akichangia humu
Members wengine wana shirikije hapa Jamiiforums?
Hili swali limenishangaza sana pale nilipoona kuna members 350k but ukiangalia washiriki ni wale wale.
Kuna majukwaa utaona waanzisha mada ni wale wale, sehemu nyingine robo page ni mada za mtu mmoja.Hivi ni kweli kwamba wahusika wengine hawana cha kutushirikisha.
Pili na muhimu, hivi member wa jf akiaga dunia huwa inajulikana.Najua kuna baadhi ya watu wanafahamiana ila tukio kama hilo likitokea taarifa zinaletwaga kwa wahusika waliosalia?
We are living in the technology and information era, so guys let us live the era.
Ni hayo tu wadau.
watu wana ID zaidi ya moja humuu, na ni almost 70% of JF membersNdio hapo nikauliza je wale 350k ni kweli wapo hai? Kama mtu hai hachangii atatofautishwa vipi na mtu aliyeaga?
😳😳😳Mkuu askari kanzu tena? una maana gani.Dah...JF is full of Askari Kanzu[emoji4]
watu wana ID zaidi ya moja humuu, na ni almost 70% of JF members
We wacha uongo!
Mboni thithi tunapostiga tu hata
Wakati tulishakufaga cku nyingi[emoji102]
Multiple ID siyo issue wakuu...huko ni kutokujiamini...watu tutakuja kuingia vyoo visivyo vyetu.mfano wewe mtoa mada una ID 2 hili laweza kuwa ama lisiwe, mimi nna 3 kuna member 2 nawajua kila mmoja ana 2 nnazojzijua na ni maarufu hapo jiongeze tu kimahesabu (JOKE)
Sijaelewa Mkuu....ila signature yako inahusiana vizuri sana na hii mada....Bravo for it.Jf kama bungeni
Ni kweli kabisa [emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]kuna wengine kazi yao kusoma tu mada ila hawachangii chochote ndio maana ukianzisha uzi utakuta unaviewer 2000 walioreply 20
Naunga mkono hojaKua na I'd zaidi ya moja ni dalili ya kutokujiamini, pia kwa yeyote mwenye I'd inayo pita moja lazima kuna vitu visivyo wema anakua anavificha.
I'd zaidi ya moja ni utoto, wizi, upuuzi na ujinga uliopita kiwango cha kawaida
Tobah! ni jambo linalowezekana kabisa Mkuu....Kwa hizi fake IDs siyo ajabu wewe ndiye JPM mwenyewe,....hahahaa Just joking.Humu mpaka Magufuli yupo anachunguliachungulia kuangalia upepo unavyoenda.