Nimejiuliza sana hili swali kuhusiana na Jf

Nimejiuliza sana hili swali kuhusiana na Jf

MJUMBE WA AMANI iko hivi
Pamoja na kwamba kuna members wote hao lakini wamejigawa automatically kutokana na mapenzi yao
-kuna ambao kazi yao ni kuchangia tu
-kuna ambao kazi yao ni kulike tuu
-kuna ambao kazi yao ni kusoma tuu
-kuna ambao kazi yao ni kuanzisha mada tu
Halafu kuna ambao utamkuta kwenye yote hayo hapo juu au baadhi yake
Mkuu nimeipenda sana hii, kumbe kuna mgawo wa majukumu? asante kwa kunijulisha mkuu.
 
Bora km huna mada ya kuongea au km huna mawazo ya kukoment unyamaze tu kuliko kupayuka maneno yasiyo na maana yyte
 
Bora km huna mada ya kuongea au km huna mawazo ya kukoment unyamaze tu kuliko kupayuka maneno yasiyo na maana yyte
Kweli mkuu, umenena vyema.Ukasuku ndio chanzo cha ugomvi na bans zisizo na msingi.
 
mfano wewe mtoa mada una ID 2 hili laweza kuwa ama lisiwe, mimi nna 3 kuna member 2 nawajua kila mmoja ana 2 nnazojzijua na ni maarufu hapo jiongeze tu kimahesabu (JOKE)
 
Akifa hutomuona akichangia humu
We wacha uongo!
Mboni thithi tunapostiga tu hata
Wakati tulishakufaga cku nyingi[emoji102]
Members wengine wana shirikije hapa Jamiiforums?

Hili swali limenishangaza sana pale nilipoona kuna members 350k but ukiangalia washiriki ni wale wale.
Kuna majukwaa utaona waanzisha mada ni wale wale, sehemu nyingine robo page ni mada za mtu mmoja.Hivi ni kweli kwamba wahusika wengine hawana cha kutushirikisha.

Pili na muhimu, hivi member wa jf akiaga dunia huwa inajulikana.Najua kuna baadhi ya watu wanafahamiana ila tukio kama hilo likitokea taarifa zinaletwaga kwa wahusika waliosalia?
We are living in the technology and information era, so guys let us live the era.

Ni hayo tu wadau.
 
watu wana ID zaidi ya moja humuu, na ni almost 70% of JF members
We wacha uongo!
Mboni thithi tunapostiga tu hata
Wakati tulishakufaga cku nyingi[emoji102]
mfano wewe mtoa mada una ID 2 hili laweza kuwa ama lisiwe, mimi nna 3 kuna member 2 nawajua kila mmoja ana 2 nnazojzijua na ni maarufu hapo jiongeze tu kimahesabu (JOKE)
Multiple ID siyo issue wakuu...huko ni kutokujiamini...watu tutakuja kuingia vyoo visivyo vyetu.
 
Kua na I'd zaidi ya moja ni dalili ya kutokujiamini, pia kwa yeyote mwenye I'd inayo pita moja lazima kuna vitu visivyo wema anakua anavificha.
I'd zaidi ya moja ni utoto, wizi, upuuzi na ujinga uliopita kiwango cha kawaida
Naunga mkono hoja
 
Humu mpaka Magufuli yupo anachunguliachungulia kuangalia upepo unavyoenda.
Tobah! ni jambo linalowezekana kabisa Mkuu....Kwa hizi fake IDs siyo ajabu wewe ndiye JPM mwenyewe,....hahahaa Just joking.
 
Back
Top Bottom