Nimejiunga JF tarehe 01/12/2020 naenjoy Sana

Nimejiunga JF tarehe 01/12/2020 naenjoy Sana

Le mobimba

Member
Joined
Dec 1, 2020
Posts
88
Reaction score
154
Naitwa immanuel Mosha, mkazi wa Kilimanjaro kwasasa Niko Dar salaam, ni mhitimu wa chuo kikuu mwaka huu, (Bachelor degree in social Work and sociology)

.Nimekua nikifuatilia JF kupitia ukurasa wa facebook huwa napata habari muhimu ambazo kiukweli inawezekana nisingezipata kwa urahisi kwenye vyanzo vingine vya habari.

Niliona ndugu yangu anatumia JF akanishawishi kuitumia na kiukweli siku nimejiunga nilitumia muda mwingi Sana kupitia #thread Mbalimbali ambazo zimenifanya nimejua mambo mengi ambayo sikua nayajua mwanzoni.

Kwangu Mimi hii imekua app bora hadi nasahau kujibu sms za watu huko WhatsApp.

Ninafuraha Sana kujumuika nanyi hapa na natumaini nitaendelea kujifunza mengi zaidi ahsanteni.
 
Umejiunga wakati mzuri, wakati ambapo wana JF wengi wamestaarabika! Ungejiunga zama zile, kuna nyakati ungetamani ardhi ipasuke ili ikumeze kuliko kukutana na shombo za wana JF!
[emoji23][emoji23] hao tunaishi nao, ila sioni maana ya mtu kutema shombo,
 
Naitwa immanuel Mosha, mkazi wa Kilimanjaro kwasasa Niko Dar salaam, ni mhitimu wa chuo kikuu mwaka huu, (Bachelor degree in social Work and sociology)
.
.Nimekua nikifuatilia JF kupitia ukurasa wa facebook huwa napata habari muhimu ambazo kiukweli inawezekana nisingezipata kwa urahisi kwenye vyanzo vingine vya habari

Niliona ndugu yangu anatumia JF akanishawishi kuitumia na kiukweli siku nimejiunga nilitumia muda mwingi Sana kupitia #thread Mbalimbali ambazo zimenifanya nimejua mambo mengi ambayo sikua nayajua mwanzoni

Kwangu Mimi hii imekua app bora hadi nasahau kujibu sms za watu huko WhatsApp

Ninafuraha Sana kujumuika nanyi hapa na natumaini nitaendelea kujifunza mengi zaidi ahsanteni.
Sawa bana.
 
Karibu sana Mkuu.
Naitwa immanuel Mosha, mkazi wa Kilimanjaro kwasasa Niko Dar salaam, ni mhitimu wa chuo kikuu mwaka huu, (Bachelor degree in social Work and sociology)

.Nimekua nikifuatilia JF kupitia ukurasa wa facebook huwa napata habari muhimu ambazo kiukweli inawezekana nisingezipata kwa urahisi kwenye vyanzo vingine vya habari.

Niliona ndugu yangu anatumia JF akanishawishi kuitumia na kiukweli siku nimejiunga nilitumia muda mwingi Sana kupitia #thread Mbalimbali ambazo zimenifanya nimejua mambo mengi ambayo sikua nayajua mwanzoni.

Kwangu Mimi hii imekua app bora hadi nasahau kujibu sms za watu huko WhatsApp.

Ninafuraha Sana kujumuika nanyi hapa na natumaini nitaendelea kujifunza mengi zaidi ahsanteni.
 
Back
Top Bottom