Nyamwi umekuja kivingine na huku pia utaolewa na kumzungumzia mumeo mwenye mwenye masters ya Medical?Duh...Yan mm tu ndo masikini?
Njemba! Kuna maneno ukisoma unajua jinsia ya mtuKama Humu hamn wanawake Ina maana mm nitakuwa mwanamke WA kwanza Tz kujiunga jf
Nimevunja rekodi🙏
Usijali,wewe endelea tu kupost kwasasa,nimesha kulipia tayari.Duh ndo maana nilikuwa napost naambiwa "ujumbe huu unauoa wewe tu et nisubiri mode waupitishe kumbe sjalipia ..mma hapa mpak wiki ijayo maana Sina kitu naomba mnivumilie msini block
Una Konga hapo CHINI kweli au ni utani umeteleza?ujumbe huu unauoa wewe tu
Nyamwi apewe tunzo yake na Maxence Melo yaan tusubirie Mada zake zile zile za mumewe kumpikia Chai na kuzifuma SMS za SabraNjemba! Kuna maneno ukisoma unajua jinsia ya mtu
Nyamwi hii ID ya ngapi unaifungua?Nawomb nichangie kiingilio
kwanza mahan nimeskia Kuna kiingilio efu 10
Mabaya gani ambayo unajuwa hayapo?Heloooo....View attachment 3053560
Nina Furaha kuuuubwa
sana nimejiunga Leo jf "Home of greater thinker"
Nitegemeee mazuri yapi kutoka jf najua hamna mabaya
Mimi nimeshakulipia ya mwaka mzima tayari,Ni kira mwezi?
Je, hayakuhusu- ki vipi Sofia?Heloooo....View attachment 3053560
Nina Furaha kuuuubwa
sana nimejiunga Leo jf "Home of greater thinker"
Nitegemeee mazuri yapi kutoka jf najua hamna mabaya
Sawa, ila unatakiwa ufanye bidii ulipie mana kuna baadhi ya mambo hutoweza kuyafanya/kuyaonaDuh ndo maana nilikuwa napost naambiwa "ujumbe huu unauoa wewe tu et nisubiri mode waupitishe kumbe sjalipia ..mma hapa mpak wiki ijayo maana Sina kitu naomba mnivumilie msini block
Nyamwi tuliaNi kira mwezi?
Asikudanganye huyo, mana hata yeye alitusumbua sana kwenye kutoa malipo yake hvy tukampiga ban mpaka alipolipia ndipo tukamfungulia.Nawomb nichangie kiingilio
kwanza mahan nimeskia Kuna kiingilio efu 10
Malipo n mara moja tuu na n 10k tuu, JF hatuna malipo ya mwezi wala ya mwaka.Mbona Kuna mtu karipa her ya mwaka mzima
We ni mkuria?Mbona Kuna mtu karipa her ya mwaka mzima
Nyamwi usijifanye unabadirisha muandikoKwani adimini ni nani
Hapana, hakuna malipo yaliyokuja, hata hivyo tunashauri mhusika ndie afanye malipo mwenyewe tena kwa kuja sehemu ya meseji kwa ajili ya kupewa namba ya kutuma hayo malipo.Kuna mutu kasema karipa amekwambia
Ni mimi na ndiye niliyekulipia.Kwani adimini ni nani
Malipo nimesha kamilisha,hapa JF kuna wababaishaji wengi sana,wewe relax tu,weekend pia nitakutoa out na kukuonyesha ofisi zetu zinavyofanya kazi.Mbona Kuna mtu karipa her ya mwaka mzima
Maelezo yako yamefika Bi Sofia,wala usitie shaka,nitalifanyia kazi suala lako.Alihe nifungulia fungua akaunt katumia email yake kanipa.pswed m sio jina lang Hilo mm Sofia lajab adimini badilisha