Nimejiunga rasmi JF

Nimejiunga rasmi JF

Duh ndo maana nilikuwa napost naambiwa "ujumbe huu unauoa wewe tu et nisubiri mode waupitishe kumbe sjalipia ..mma hapa mpak wiki ijayo maana Sina kitu naomba mnivumilie msini block
Usijali,wewe endelea tu kupost kwasasa,nimesha kulipia tayari.
 
Duh ndo maana nilikuwa napost naambiwa "ujumbe huu unauoa wewe tu et nisubiri mode waupitishe kumbe sjalipia ..mma hapa mpak wiki ijayo maana Sina kitu naomba mnivumilie msini block
Sawa, ila unatakiwa ufanye bidii ulipie mana kuna baadhi ya mambo hutoweza kuyafanya/kuyaona
 
Nawomb nichangie kiingilio
kwanza mahan nimeskia Kuna kiingilio efu 10
Asikudanganye huyo, mana hata yeye alitusumbua sana kwenye kutoa malipo yake hvy tukampiga ban mpaka alipolipia ndipo tukamfungulia.

Hakuna malipo yoyote aliyofanya kwa jina lako. Asikudanganye huyo.
 
Kuna mutu kasema karipa amekwambia
Hapana, hakuna malipo yaliyokuja, hata hivyo tunashauri mhusika ndie afanye malipo mwenyewe tena kwa kuja sehemu ya meseji kwa ajili ya kupewa namba ya kutuma hayo malipo.
 
Back
Top Bottom