Nimejua kazi ya baba yangu

Nimejua kazi ya baba yangu

Ishukuriwe sana serikali ya awamu ya tano kwa kumuwezesha mzee wako kuwa na kazi
Magu oyeee!!!
 
Write your reply...Hahahaaaaq umenichekesha sana aisee
 
Baada ya kusomeshwa from primary mpaka chuo bila kujua mzee ana kazi gani
Mzee alikuwa mtu wa safari sana na aliniambia zilikuwa safari za makampuni kama UNDP n.k
Lakini hii likizo nimejaribu kufuatilia kwakuwa nimeshakua na nimegundua baba yangu ni jambazi
Umetumia mbinu gani kujua kuwa hakika baba ni jambazi kweli, je mama nae anafanya shughuli zipi
 
Baada ya kusomeshwa from primary mpaka chuo bila kujua mzee ana kazi gani
Mzee alikuwa mtu wa safari sana na aliniambia zilikuwa safari za makampuni kama UNDP n.k
Lakini hii likizo nimejaribu kufuatilia kwakuwa nimeshakua na nimegundua baba yangu ni jambazi
Saidia polisi kuwa whistle blower jitoe mwanga mtie mzee mikononi mwa polisi
 
Tangulia milembe mwenyewe kwa huo ujasiri.
 
Back
Top Bottom