Nimekaa na wasichana kibao nimeagiza chipsi yai wao wameagiza ugali naona aibu kula.

Pole sana kwa matatizo yaliyokukuta mwl.Kisandu.
Kumbe ulishaachwa huru?
 
Mimi sidhani kama ni tatizo wewe kuagiza ulichotamani kula ati kwa kuogopa 'wadada' watakucheka. Kwenye maisha ni vema kuamua kuishi upendavyo wewe kwa kile unachoweza kukimudu. Hata kama wao wangeagiza mvinyo ghali wewe kama una kiu ya maji agiza na uyanwe kwa kujiamini. Grow up!
 
Yani unga na maji ndiyo kinaonekana chakula cha kwa wanaume na viazi ni chakula cha wanawake.
 
Dooh huo msala kweli mkuu...
 
Kila kukicha wanaume tunazidi kupungua dadeq. Hivi vitoto vya 1985 mpaka leo vinashida sana
 
Kwahiyo uliweka Mayonaizi kabla hujaletewa?. Pangilia vizuri uongo wako.
 
Kula ni kula tu Kisandu kwa kuwa umetoa hela yako hakuna la ajabu hapo.

Ila nikwambie tu mwanaume wa kweli hali chipsi hata kama anakula basi kwa hamu.
teh teh teh... hii yako haina tofauti na kusema ni sawa ulichofanya lakini umekosea kabisa
 
Kula ni kula tu Kisandu kwa kuwa umetoa hela yako hakuna la ajabu hapo.

Ila nikwambie tu mwanaume wa kweli hali chipsi hata kama anakula basi kwa hamu.
Ndio tatizo wanawake, vitu vitamu vyote mnafikiri vimeumbwa kwa ajili yenu, nasema hivi tutabanana hukohuko kwenye chipsi na baga, ugali watakula wanaume wa mkoani
 
Ndio tatizo wanawake, vitu vitamu vyote mnafikiri vimeumbwa kwa ajili yenu, nasema hivi tutabanana hukohuko kwenye chipsi na baga, ugali watakula wanaume wa mkoani
Hahaha. Na sisi wanaume wa mikoani tunasema hivi "tunadivert" fuso za mbeya na njombe zisifike Dar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…