Yoranda
JF-Expert Member
- Jan 9, 2020
- 341
- 338
Moja kwa moja kwenye mada.
Sina nia ya kudate, lakini naona kumbe wanawake wengine wanawatia aibu wenzao.
Nikiwa napiga kinywaji, danga moja jirani linalazimisha maongezi, nikijilazimisha kuwaza sina hamu ya kupekenyua uchi, nikaliambia sijaja kutafuta uchi, kula au nenda ukadange kwengine, naona ameelewa.
Lakini ujumbe wangu wanaume kuweni Makin na haya madanga. Hili nalijua mwaka sasa, kwa kuwa umri wangu 37 sasa sina mpango wa kupiga viuno, hembu angalieni
Bia ya tisa
Sina nia ya kudate, lakini naona kumbe wanawake wengine wanawatia aibu wenzao.
Nikiwa napiga kinywaji, danga moja jirani linalazimisha maongezi, nikijilazimisha kuwaza sina hamu ya kupekenyua uchi, nikaliambia sijaja kutafuta uchi, kula au nenda ukadange kwengine, naona ameelewa.
Lakini ujumbe wangu wanaume kuweni Makin na haya madanga. Hili nalijua mwaka sasa, kwa kuwa umri wangu 37 sasa sina mpango wa kupiga viuno, hembu angalieni
Bia ya tisa