DR SANTOS
JF-Expert Member
- Mar 11, 2019
- 12,846
- 28,106
Jamaa hatumii selfie cc JituMirabaMinneIla mkuu, wakati tunaendelea discuss hii topic me nataka kujua iyo simu yako camera ya mbele ipo wp?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa hatumii selfie cc JituMirabaMinneIla mkuu, wakati tunaendelea discuss hii topic me nataka kujua iyo simu yako camera ya mbele ipo wp?
Gari siyo kununua gari ni kutunzaNaombeni mninunulie gari jamani
Ewe msamaria mwema niangalie kwa jicho la huruma
Wengi wanakosa subira shida inaanzia hapoUkiweza agiza gari mwenyewe, process imekuwa nyepesi sana. Wabongo wamezidi utapeli
Best way ni kununua Gari direct from Japan , blacks are for the curse ndio maana ni ngumu snaa mataifa yaliyoendelea kufanya business na black .View attachment 3099763
Mfano hiyo hapo juu ni actual mileage inayonekana kwenye gari.
View attachment 3099769
Hii ni mileage inayoonekana kwenye website ya EAA.
Gari imeshushwa 120,000Km
sasa hiyo ina uafadhali ila zipo ambazo ni worst kuliko hiyo.
inaonekana kununua gari na kuja kuuza na actual Kilometers watu hawataki kununua, kwa hiyo mwendo kwa sasa ni huo.
Zipo gari nimekuta zimetembea 200,000Km ila dashboard ina 55,000Km,.
Hapo sijagusia Diagnostic Reports ni majanga matupu, Gari nyingi hapo zilikuwa na faults kuanzia 8 mpaka 20.
Tumeanza kusema siku nyingi usinunue gari kwa Km, tafuta gari nzima hata kama ina 300000Km tulia humo.
lugha hii kidogo inafanana na kingerezaToday I learn something new about (CAR)
huwa tuna upesi, tunataka ku drive faster kabla pesa hiyo haijapata matumizi mengine.Wengi wanakosa subira shida inaanzia hapo
hakuna cha mpya wala mavMi nadhani ukitaka kilichonyooka agiza mpya. 0km. Hizi used zetu ukianza kuzikagua sana yatakushinda. Kikubwa angalia yenye unafuu, lipia kavimbe huko.
VIN inakupa kila kituKuna kitu kikubwa umenifundisha mkuu, kwenye hiyo website ya eaa unaingiza nini kupata data!?, chassis number ya gari!?,tupeane ujuzi tafadhali..
Gari mpya inapataje ajali?hakuna cha mpya wala mav
juz kat tunegagiza gar.kumbe bwana ilipata ajali mpaka airbag zikafumuka.wakaja wakaweka masteling sijui huko huko thailand ac nyuma haifany kaz inawaka ya mbele tu. kumbe wame icheat computer wameunga unga nyaya na diode resistor shenz wale.kwenda kufanya alignment ndio jasho jamaa wanasema mark haipo ina mana gar ilikula mzinga mtakatifu. automark tu ndio nawaamin una hela yako nenda pale
Uko sahihi.Hii gari kabla ya kuangalia odometet ushajua imechoka.
Tupeane ujuzi kuhusu eaa website tafadhali 🙏🙏
Huyo jamaa hata hajui ameandika kitu gani.Gari mpya inapataje ajali?