Nimekamatiwa pikipiki nikiwa naikokota kwenda kwa fundi

Nimekamatiwa pikipiki nikiwa naikokota kwenda kwa fundi

Nikiwa barabarani nakokota pikipiki nikielekea kwa fundi, gafla akatokea jamaa kavaa kilaia, na kuniomba anikague, nikamruhusu, akabaini bima imeisha na element haikuwepo, nikaahilisha kwenda kwa fundi tukaenda polisi baada ya kuniamrisha hivyo,tulipofika wakaniomba leseni ikawa imekwisha mda wake,nikawaambia mbona nilikuwa nakokota nilikuwa siendeshi? wakajibu, hayo hatujui lipa faine tu, wanadai niripie sh 90,000/ nimeondoka kituon nitarudi kesho ili twende mahakamani,mnanishauri nini?, swali, je inaruhusiwa kukamata pikipiki inayokokotwa kwenda kwa fundi?
Watu walioshuhudia hilo tukio ndio ambao wana nafasi ya kukutetea mahakamani. Jenga mashahidi wako, unashinda hiyo kesi.
 
uyo angekimbiaje piki piki mbovu.haha
Mzazi mwenzangu, haya yameisha nasubiri risitu, omba usipelekwe polisi hawa jamaa wahuni sana, jana walinizingua leo nimemkuta afande mmoja aliwahi kunikagulia gali yangu, akakubali nilipie kosa moja tena kiulaini, Kupunguza mengi nimeona nilipe tu.
 
Mzazi mwenzangu, haya yameisha nasubiri risitu, omba usipelekwe polisi hawa jamaa wahuni sana, jana walinizingua leo nimemkuta afande mmoja aliwahi kunikagulia gali yangu, akakubali nilipie kosa moja tena kiulaini, Kupunguza mengi nimeona nilipe tu.
Upo kituo gani nije hapo...hv kweli risiti zmeisha?BTW nielekeze nije tuje tuachishe kazi watu.
 
Polisi wana mikwala sana....mimi na kipando changu kila siku wananikamata na sina leseni wala bima....wananipiga mikwala mimi nawaangalia tu....mwisho wa siku utawasikia basi lete hela ya maji uwende zako ukalijenge taifa....nawapa buku mbili natembea zangu.....
 
Upo kituo gani nije hapo...hv kweli risiti zmeisha?BTW nielekeze nije tuje tuachishe kazi watu.
Jamaa wahuni kweli, wamenipa fom ya PF .101 Peke yake, naomba risiti wananiambia hazipo labda tukupeleke mahakamani ukalipie makosa matatu, polisi ni nouma
 
Jamaa wahuni kweli, wamenipa fom ya PF .101 Peke yake, naomba risiti wananiambia hazipo labda tukupeleke mahakamani ukalipie makosa matatu, polisi ni nouma
Upo kituo gani mbona husemi ulipo serikal ya awamu hii tumejipanga no rushwa TAKUKURU ulipo tunakufaata
 
Upo kituo gani mbona husemi ulipo serikal ya awamu hii tumejipanga no rushwa TAKUKURU ulipo tunakufaata
MAGU mwanza kituo kikuu, hawa jamaa sio kabisa kama takukuru wamo humu waje tu, kunamajipu hapa.
 
Jamaa wakikushika wana vitabu vingi vya kuweka record, kumbe mikwara tu hata havitambuliki, unabambikwa makosa mengi ili ulainike baada ya hapo unaombwa pesa ya kosa moja kama huna unaambiwa upelekwe mahakamani ukalipie yote, ukitoatu, risiti hupewi halafu wanakuwa wakali.
 
Mimi sijaendesha na sijaandika popote kuwa niliendesha, wao nimefika tu akachukua kitabu na kuandika mapungufu,bila kujali kuwa nilikuwa nasukuma
Hawajamaaa wametumwa kutafuta pesa tu.
 
Nikiwa barabarani nakokota pikipiki nikielekea kwa fundi, gafla akatokea jamaa kavaa kilaia, na kuniomba anikague, nikamruhusu, akabaini bima imeisha na element haikuwepo, nikaahilisha kwenda kwa fundi tukaenda polisi baada ya kuniamrisha hivyo,tulipofika wakaniomba leseni ikawa imekwisha mda wake,nikawaambia mbona nilikuwa nakokota nilikuwa siendeshi? wakajibu, hayo hatujui lipa faine tu, wanadai niripie sh 90,000/ nimeondoka kituon nitarudi kesho ili twende mahakamani,mnanishauri nini?, swali, je inaruhusiwa kukamata pikipiki inayokokotwa kwenda kwa fundi?
Aisee wewe jamaa nimesoma Uzi wako na unavyojaribu kujitetea eti umewalainisha toka 90 hadi 30 halafu unajiona mjanja kumbe umeliwa ujue unaweza kutoa msaada hata laki moja ila ukipoteza elfu roho inakuuma sasa umelipa 30 lisiti haujapewa na bado unapigwa mkwara mie kuna kipindi niliwahi kutumia Pikipiki miaka miwili sina bima Kama na sikuwahi kukamatwa tena ukinikuta naisukuma mbovu ndio sahau kabisa kitu kujiamini halafu mnasema eti watu wa mikoani ndio wanaume wa nguvu unapigwa mkwara kidogo ulalamika unakuja kulia lia humu komaaa
 
Kwa nini nilipe wakati ilikuwa ndani na sijaendesha? mi nazani mahakamani ndo kutakuwa na haki.
Aliye kudanganywa nchi hii ina haki ni nani? Lipa hiyo pesa au tafuta wakili mzuri utakayemlipa mamilioni.
 
Nikiwa barabarani nakokota pikipiki nikielekea kwa fundi, gafla akatokea jamaa kavaa kilaia, na kuniomba anikague, nikamruhusu, akabaini bima imeisha na element haikuwepo, nikaahilisha kwenda kwa fundi tukaenda polisi baada ya kuniamrisha hivyo,tulipofika wakaniomba leseni ikawa imekwisha mda wake,nikawaambia mbona nilikuwa nakokota nilikuwa siendeshi? wakajibu, hayo hatujui lipa faine tu, wanadai niripie sh 90,000/ nimeondoka kituon nitarudi kesho ili twende mahakamani,mnanishauri nini?, swali, je inaruhusiwa kukamata pikipiki inayokokotwa kwenda kwa fundi?
we niboya sana hata kwa kuangalia polisi huwa hakamatimtu mpaka ameangalia muonekano wake kakuonawewe zoba unaambiwa twende unaenda unapigwa mkwara unatoa 30,000 unajiona mjanja
 
we niboya sana hata kwa kuangalia polisi huwa hakamatimtu mpaka ameangalia muonekano wake kakuonawewe zoba unaambiwa twende unaenda unapigwa mkwara unatoa 30,000 unajiona mjanja
Umeongea jambo la maana sana nikisimamishwa na polisi mimi ndio naanza kuwahoji mnasemaje mnataka nini?hao wanasepa
 
Back
Top Bottom