Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio nchi hiiKwa nini nilipe wakati ilikuwa ndani na sijaendesha? mi nazani mahakamani ndo kutakuwa na haki.
Hapo kwenye red ndio imetoka hiyo.Nimewaomba nilipie kosa moja (Tsh30,000) wamekubali, nimelipa na wamechukua particulars zangu, nasubiri risiti hazipo.
kosa ni mpaka pale linapokuwa limefanywa sio eti atalifanya,ukiniudhi nikakasirika nikachukua bastola nikaja kwako nikiwa na mahasira na bastola mkononi nitashtakiwa kwa kuua ikiwa tendo la kuua bado halijafanyika???upande wa pili...unajua kwanini baiskeli haihitaji leseni????Kutoka kwa fundi ingerudije home kwako? Lipa faini mkuu, mfuko wa Magufuli utune.
hapo pekundu inaandikwa Helmet!!!ni dhahiri hata kutamka unakosea ungekuwa unatamka sahihi usingeandika hivyoMkuu hata kusukuma unatakiwa kuwa na element na leseni?
pole...kwa hiyo ukipewa na mtu umkokotee pikipiki yake inabidi uwe na leseni!!ni leseni ya kukokota!!?Leseni mkuu