sungusungu
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 3,057
- 719
Kuna wakati nilikuta mapango ya Amboni Tanga mtu ametelekeza jogoo pangoni huku akiwa amemtoa manyoa baadhi ya maeneo,nilimwuliza mwenyeji wangu kama naweza kumchukua,niliondoka naye.Watu tunatafuna nazi wanazovunja njia panda nazinavyojaza [emoji39]
Wakati natembea nikiwa sina hili wala lile nimejikuta nakanyaga haya mazaga katikati ya njia panda.
Kwa kweli nimeghafilika sana! Na hii si mara ya kwanza.
Naona mwamba aliambiwa aweke na chumvi ya mawe[emoji28][emoji28] kisha akaja kupasulia shida zake hapa.
Wapi huko?Wakati natembea nikiwa sina hili wala lile nimejikuta nakanyaga haya mazaga katikati ya njia panda.
Kwa kweli nimeghafilika sana! Na hii si mara ya kwanza.
Naona mwamba aliambiwa aweke na chumvi ya mawe๐ ๐ kisha akaja kupasulia shida zake hapa.
Ulimkula mkuuKuna wakati nilikuta mapango ya Amboni Tanga mtu ametelekeza jogoo pangoni huku akiwa amemtoa manyoa baadhi ya maeneo,nilimwuliza mwenyeji wangu kama naweza kumchukua,niliondoka naye.
Nikiwa mdogo pia nilishuhudia nazi inaongea, jamaa aliipiga teke, mara ghafla ikasema nirudishe uliponitoa๐ ๐Wala usiwaze,nakumbuka tikiwa wadogo, tulikuta nazi zimeandikwa mandishi ya kiarabu njia panda takazitafuna vizuri.
Nipo bado๐Umekwisha!!๐๐๐
Kama wewe siyo mjinga na mshirikina huna haja ya kukosa amani.Wakati natembea nikiwa sina hili wala lile nimejikuta nakanyaga haya mazaga katikati ya njia panda.
Kwa kweli nimeghafilika sana! Na hii si mara ya kwanza.
Naona mwamba aliambiwa aweke na chumvi ya mawe๐ ๐ kisha akaja kupasulia shida zake hapa.
Uoga wako ndio utakudhuru. Unakanyaga vingapi njiani?Wakati natembea nikiwa sina hili wala lile nimejikuta nakanyaga haya mazaga katikati ya njia panda.
Kwa kweli nimeghafilika sana! Na hii si mara ya kwanza.
Naona mwamba aliambiwa aweke na chumvi ya mawe[emoji28][emoji28] kisha akaja kupasulia shida zake hapa.
Duh, pole kwa kuchukua laana ya mtu mwingine. Tunaomba mrejesho ukishaamka salama kesho asubuhi.Wakati natembea nikiwa sina hili wala lile nimejikuta nakanyaga haya mazaga katikati ya njia panda.
Kwa kweli nimeghafilika sana! Na hii si mara ya kwanza.
Naona mwamba aliambiwa aweke na chumvi ya mawe๐ ๐ kisha akaja kupasulia shida zake hapa.
Nimeamka kwa ndoto kali sana mkuu. Naendesha gari kali sana iko full tenki.Duh, pole kwa kuchukua laana ya mtu mwingine. Tunaomba mrejesho ukishaamka salama kesho asubuhi.
Inaonesha wewe ni mtabiri, umejuaje?Kwenu ni makolola tanga?
Hujanijibu swali mkuu. Makolola ni njia moja na mashewa. Unapita Makangara kabisaInaonesha wewe ni mtabiri, umejuaje?
Wakati natembea nikiwa sina hili wala lile nimejikuta nakanyaga haya mazaga katikati ya njia panda.
Kwa kweli nimeghafilika sana! Na hii si mara ya kwanza.
Naona mwamba aliambiwa aweke na chumvi ya mawe๐ ๐ kisha akaja kupasulia shida zake hapa.
We mama.Luka 10:19
Tazama nimewapa mamlaka ya kukanyaga nyoka na nge na juu ya nguvu zote za adui; wala hakuna kitu chochote kitakachowadhuru.
Hewaa! Pili kumbuka hata swali la hesabu kuna njia zaidi ya moja kulikokotoaHujanijibu swali mkuu. Makolola ni njia moja na mashewa. Unapita Makangara kabisa
mkuu bas tumekutana wote wa huko.Hewaa! Pili kumbuka hata swali la hesabu kuna njia zaidi ya moja kulikokotoa
Dawa ya zongo ni ndulelemkuu bas tumekutana wote wa huko.
Niliishi Magoma secondary hapo, nikasoma Kwata shule ya msingi hapo makangara.
Miaka 20 iliyopita, enzi hizo uchawi upo kileleni, unapigwa zongo mapema tu hata hujanawa uso๐๐
nashangaa wabongo wa JF wanasema hakuna uchawi.Dawa ya zongo ni ndulele