Nimekasirika kuitwa malaya

Nimekasirika kuitwa malaya

Nimeliona hilo nikaishia kushangaa tu na kushindwa kumuweka kwenye kundi lipi?
Huyu binti/dada Unique Flower anasumbuliwa na upweke,halafu inaonekana hata maisha ya huko mtaani wanaume wanamkwepa,so anastress za kufa mtu,imagine alishaletaga uzi hapa wa kulalamika kuwa kila mwanaume anaedate nae anataka Unique Flower ndio amgaramikie[emoji2]
 
Huyu binti/dada Unique Flower anasumbuliwa na upweke,halafu inaonekana hata maisha ya huko mtaani wanaume wanamkwepa,so anastress za kufa mtu,imagine alishaletaga uzi hapa wa kulalamika kuwa kila mwanaume anaedate nae anataka Unique Flower ndio amgaramikie[emoji2]
Daa maskini
Ngoja nikija nimtafute kama ni ke maana anachanganya mafaili kila uzi

Waliopo karibu hebu msaidieni basi
 
L
Kuna watu wanadai ni wanaume ila nimefanya utafiti ni mashoga

Nipo serious Kwa sababu huwezi mtu kufurahia status Yako kimaisha na mtu aje aandike mbovu Kwa hasira sijui Malaya wewe.

Unaliwa nauanze kutoa povu ukiambiwa haya toa ushahidi hakuna .

Ila jamaa amejaa hasira Kisa upo na mwanaume mwenzio Sasa mtu humjui Wala hujawahi muona hujui anaishi wapi ila anakukera .

Hali kwenu maana wote wanaotukana watu humu bado wanategemea makwao.

Bado ni wale wanaoona maisha yapo hawajui Kodi ya shemeji ikisha nani analipa na mengine tu.

Wao wanakaa tu . Kutukana watu course asubuhi wameshiba,...

Mchana wameshiba na ijioni.

So wakiingia humu wanadis kila mtu Kwa akili ya maharage.

Au unakuta nimtu mwenye kila kitu ila yupo mpweke anastress mbaya sana.

Akili yake imejaa shida na mawazo halafu ni mtu ambaye hakuna anayemtaka.

So hata aje mwanaume mwenzio anamaliza haja zake maana Hana option.
So wengi humu mume jikatia tamaa.

Umeng'ara hakuna demu anasema hi upo tu nakila kitu kizuri hapo.

Everything you have but no company unaishia kunywa .nakuperuzi mitandaoni unakuta UNIQUE FLOWER anapendwa kila siku nawatu .
b
Nababe zake wapya unaanza maraya unamake fake story ilimradi niongee mie nashomboo nakupa kweli hadi uzime.


Sasa kunatype hii Hana kila kitu na bado anaperuzi humu.
Hii ni mbaya sana .

Anahasira yakukosa kila kitu akija humu na kabando kake unique Flower anajisifia na kusifiwa uwiii.

Unashusha kichamboo.

Acheni ujinga humu nikupeana kampani kama hujui kufurahia na kufurahiwa humu basi.

Na mashoga ndio wengi humu wanawivu na watu wanaopendwa na me humu.

Kama Mungu alipanga huyu unique fulawa apate mtu humu atapata ila kama hajatakiwa atapata alipotakiwa apate na hiyo haikuhusu. Wivu wanini na unamshipii?

Au nawewe unataka uvuliwe uliwe upigwe upepo na wewe ni me.

Jingine unakuta wivu za akinadada so anajibadili Kwa account yake annamtukana mwingine Kisa ujinga tu humu.

Kama ulichezewa move on this is new year
Iipia Tangazo
 
Back
Top Bottom