PSL god
JF-Expert Member
- Nov 18, 2023
- 8,435
- 6,476
HahahaTake your life mkuu trust me utapunguza pain
Mimi mwaka 2016 nilikunywa dawa ya kuua wadudu wa kahawa nina miaka 6 toka nife ni burudani mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahaTake your life mkuu trust me utapunguza pain
Mimi mwaka 2016 nilikunywa dawa ya kuua wadudu wa kahawa nina miaka 6 toka nife ni burudani mkuu
Hapa ndio ndio kwenye point ya msingi ponda raha mwanawane ponda raha kufa unakufa mara 1 tu ukifa haurudi tena na ukifa watu wanaziwahi akaunti zako za bank kuchungulia umeacha nini ili waanze kuendeleza ulipoishi unaweza usizivutie sigara usizinywee pombe ukifa kuna muhuni atazivutia na kuzinywea na umezitafuta wewe mwanawane, mwadelababa gawiza !!!Nataka nianze kufaidi pesa zangu mimi mwenyewe. Sitaki mtu anisemeshe. Mimi na maisha yangu. Binadamu nimewachoka. Nitakunywa Pombe mpaka nitapike. Nitavuta sigara mpaka mapafu yakome. Nitalala kwenye madanguro. Nitahonga sana. Nataka ku- neurtralize my sadness. Siwezi kuwa mimi ni wa uchungu tu maisha yangu yote. Siwezi kuwa mimi wa majonzi tu mpaka nife.
Mimi mwenyewe nilishakufa tangu 2005 usishangae sana naishi kwenye mwili wa mtu mwingine tu hapaDuuh asee