Nimekata tamaa, nimepigika, nimeteswa, nimedharauliwa, nimeumizwa, sasa basi!

Nimekata tamaa, nimepigika, nimeteswa, nimedharauliwa, nimeumizwa, sasa basi!

sasa brother ulitaka matatizo hayo yakumte nani ndo mungu alivyokuandikia hvo pambana kunywa pombe fanya yote na ukimwi ukipata poa na ukifa tutakuzika kaka ndo dunia hii mjomba athumani
 
Oya mwanangu, pole sana.

Ww si umeshawasomesha na kujua tabia zao?

Si umekua ukimtumia hela mama na kumjaki lkn hakuthamini?

Si mkeo anakudharau na kukukejeri?

Si una kazi yako nzuri tu ya kukupa pesa?

Sasa mwanaume mwenzangu fanya ivi;

1. Sitisha misaada yote kwa ndugu zako.
2. Sitisha msaada kwa mama yako mpaka pale atakapojua umuhimu wako. Hapa nakazia mpaka atakapojua umuhimu wako na uendelee kumsaidia.
3. Huyo mke piga chini asije kukuua. Kama unataka mwanamke nenda kijijini uoe housewie uendelee kula maisha.
4. Nunua usafiri eg gari, pikipiki uwe unafanya tour za hapa na pale ku refresh mind.
5. Jiwekezee jwa kununua mashamba, viwanja na miradi ya hapa na pale.

Kazi ufanye ww, kuwasaidie uwasaidie ww, kukudharau wakudharau ww. Mxxxx
 
sasa brother ulitaka matatizo hayo yakumte nani ndo mungu alivyokuandikia hvo pambana kunywa pombe fanya yote na ukimwi ukipata poa na ukifa tutakuzika kaka ndo dunia hii mjomba athumani
🤣🤣🤣
 
Mkuu usibadilike be who ur. Hivo ndio unaweza zaidi na umefika mbali kwa hivo ulivyo,ukichange utajuta,maana kurudi kwenye reli itakuwa too late.
Sasa angalia maisha yako zaidi, imarisha ngome yako,za wadogo zako zinatosha jiachie kutoka kwao. Furahia pesa yako kwa kuenjoy, tafuta furaha yako, p'se furaha haipo kwenye pombe,wanawake na the like.utachekwa zaidi na wadogo zako maana utakuwa umepotea kiuchumi,kimaadili na hata responsibility.(utadharaulika)
 
Nimekata tamaa; Nimepigika, nimeteswa, nimedharauriwa, nimeumizwa , sasa Basi !

Ndugu zangu wana MMU kama ambavyo nimetanguliza hapo awali sina namna tena.

Dunia kwangu imekuwa chungu mno. Sioni jema wala.zuri katika dunia hii ya wanadamu. Pengine huko mbinguni aliko Mungu. Ili angalau nipate nafuu ya maumivu moyoni nawiwa kushare hapa.

Nimeumizwa sana na jamii. Kwenye siasa nimeumia sana. Kwenye jamii hivyo hivyo. Kwenye familia nina machungu makali mno. Kazini kwa moto kama kaa la mkaa wa mawe. Ndugu zangu mimi si lolote wala chochote kwao. Kifupi najiona thamani ya kuishi duniani haipo. Mwandishi wa Biblia kitabu cha Mhubiri alisema Duniani kila kitu ni upuuzi mtupu. Naungana naye kwa leo.

Ni hivi; katika makuzi yangu nilikulia mikononi mwa Mama yangu: alinilea kwa shida sana mimi na wadogo zangu. Nikiwa na miaka 9 nilianza kushirikiana na mama kutafuta kipato ili tupate japo mkate wa kila siku. Nilijishughulisha na kazi mbali mbali ikiwemo kilimo, biashara ya kuuza miwa, kuokota mavi ya ngombe na kuuza kama chanzo cha samadi, nimekata nyasi kwa ajili ya kuuzia watu wenye mifugo.

Wakati wote huo pamoja na maisha hayo nilikuwa na faraja maana siku zote mama yangu alitupa moyo mimi na wadogo zangu. Alipambana kila wakati na alidanganya hapa na pale ili tupate kuishi. Nakiri kabisa mama yangu hakuwahi kuwa mwizi wala kumuona akiwa na wanaume wengine kwa ajili ya kutafuta unafuu wa maisha. Baba yangu aliishi mjini na huko alifanya kazi ya kujiajiri na kuoa wake wengine na kutapanya mali.

Nikiwa na miaka 10 nilianza darasa la kwanza hadi nikamaliza form 4. Na nikajiunga na kidato cha kwanza hadi Elimu ya juu.

Wakati wote huo mimi nilikuwa mlezi kwa wadogo zangu na familia yangu kwa ujumla. Niliamini nitapambana hadi tufike mahali maisha yawe bora au atleast nafuu.

Sasa kazi ikaanza. Nikapata job nzuri ambayo inanilipa mshahara mzuri wa kuridhisha. Nikasema asante Mungu. Nitahakikisha wadogo zangu wote wanasoma na kufika pazuiri waliofeli nikawarudisha shuleni na wengine ku-resit mitihani yao. Alhamdulillah hawakuaniangusha wakafaulu nikawaendeleza vyuoni na sasa wengine wameahamaliza wana maisha yao.

Wengine wakawa wananidhihaki eti toka umefanya kazi una nini mpaka leo. Mbona hakuna ulichofanya cha kuendeleza maisha?? Nafsi yangu ikawa inaumia sana nikiona pesa nyingi nilizotumia kuwanyanyua wadogo zangu wa kike na wa kiume.

Kazini nilikuwa mchapa kazi Mkurugenzi wa shirika akanipa cheo kuwa msimamizi wa operasheni. Hapo ikawa kasheshe...wafanya kazi hawanisikilizi wala kutekeleza maagizo yangu. Mimi ni mkristo naamini katika kutenda haki sikuwahi kumwonea mfanya kazi yeyote. Nilifanya kazi kwa kuzingatia miongozo, kanuni, taratibu na ubinadamu. Pia. Nilijipambanua kuwa kiongozi bora lakini ikafika mahala baadhi ya wafanya kazi waliochini yangu kwenda kunisema kwa boss kuwa nawaonea( wafaya kazi hawa wana undugu na boss) nilifanyiwa kikao na Bodi ya wakurugenzi wakasikiliza malalamiko yao na hoja zangu. Wajumbe wa Bodi walikiri kuwa hawaoni Tatizo wala kasoro yoyote ktk utendaji wangu na kwamba malalamiko yaliyopelekwa na baadhi ya wafanya kazi wenzangu hayana msingi hapo nikapona.

Ikaja katika kundi la wateja yaani wapokea huduma zetu. vibwanga kila kukicha. Hata niwape huduma gani basi malalamiko chini kwa chini hayakosi. Wengine Wakinitolea maneno ya dharau pengine kwa mwonekano wangu wa upole na ushamba kidogo lakini kutokana na kazi yangu ya Wito nawiwa kuwa mvumilivu tu na kusonga mbele.

Mke wangu naye hivyo hivyo haoni kama nafanya chochote kwenye familia. Napewa maneno ya kashifa ya kuudhi na kejeli. Mimi silali mchana wala usiku natafuta maisha. Nafanya kazi kampuni nikitoka naunganisha kwenye kazi zangu binafsi ili kuongeza mpunga.

Wazazi wangu nao hivyo hivyo, nawasikia wakinisema wazi wazi vimaneno vya kejeli kuwa maisha yatanipiga. Ni kama wanafurahi au wanatamani yanipige na mimi sipo tayari kwa hilo labda Mungu mwenyewe akatae.

Huku kwenye mahusaiano ya kimapenzi naomba nisiguse kabisa hali ni mbaya mno. Mimi ni wa kuumizwa tuu. Sijui neema ya dunia hii. Wanafaidi wengine.

Ili ku-make maisha mazuri na kulinda afya yangu nilikataa kata kata kunywa pombe wala kilevi cha aina yoyote nilikataa mambo ya wanawake na utumwa wa mapenzi. Mapenzi yangu yoote niliwapa wadogo zangu. Kiukweli wadogo zangu hawa tisa(9) nawapenda sana. Huniambii kitu juu yao nimewalea toka wanazaliwa hadi sasa ni wakubwa wa mwisho yuko form four now.

Kwa kuwa nimefika mwishi sioni Jema wala zuri katika dunia hii sasa Basi! imekwisha.

Nataka nianze kufaidi pesa zangu mimi mwenyewe. Sitaki mtu anisemeshe. Mimi na maisha yangu. Binadamu nimewachoka. Nitakunywa Pombe mpaka nitapike. Nitavuta sigara mpaka mapafu yakome. Nitalala kwenye madanguro. Nitahonga sana. Nataka ku- neurtralize my sadness. Siwezi kuwa mimi ni wa uchungu tu maisha yangu yote. Siwezi kuwa mimi wa majonzi tu mpaka nife.

Lengo la thread hii sio kutaka ushauri wala nini nataka wengine mjue kuwa tuko tunaoishi na machungu tangu tunazaliwa mpaka tunakufa. Ukiona una furaha katika maisha yako basi ilinde furaha hiyo wengine hatuna bahati.

Asalam aleykum.
Kunywa pombe na kuvuta sigara mpaka mapafu yakukuome na kulala kwenye madanguro unaweza kuja kujuta bila kujijua mwenyewe. Chamsingi ungeinverst Kwa watoto wako na investment zako binafsi je kesho ukiachishwa kazi itakuwaje. Kuna watu wanadhalilika BAada ya kuachishwa kazi

Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
 
Kunywa pombe na kuvuta sigara mpaka mapafu yakukuome na kulala kwenye madanguro unaweza kuja kujuta bila kujijua mwenyewe. Chamsingi ungeinverst Kwa watoto wako na investment zako binafsi je kesho ukiachishwa kazi itakuwaje. Kuna watu wanadhalilika BAada ya kuachishwa kazi

Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
Huu ushauri mzuri
 
Mkuu usibadilike be who ur. Hivo ndio unaweza zaidi na umefika mbali kwa hivo ulivyo,ukichange utajuta,maana kurudi kwenye reli itakuwa too late.
Sasa angalia maisha yako zaidi, imarisha ngome yako,za wadogo zako zinatosha jiachie kutoka kwao. Furahia pesa yako kwa kuenjoy, tafuta furaha yako, p'se furaha haipo kwenye pombe,wanawake na the like.utachekwa zaidi na wadogo zako maana utakuwa umepotea kiuchumi,kimaadili na hata responsibility.(utadharaulika)
👍👍
 
Oya mwanangu, pole sana.

Ww si umeshawasomesha na kujua tabia zao?

Si umekua ukimtumia hela mama na kumjaki lkn hakuthamini?

Si mkeo anakudharau na kukukejeri?

Si una kazi yako nzuri tu ya kukupa pesa?

Sasa mwanaume mwenzangu fanya ivi;

1. Sitisha misaada yote kwa ndugu zako.
2. Sitisha msaada kwa mama yako mpaka pale atakapojua umuhimu wako. Hapa nakazia mpaka atakapojua umuhimu wako na uendelee kumsaidia.
3. Huyo mke piga chini asije kukuua. Kama unataka mwanamke nenda kijijini uoe housewie uendelee kula maisha.
4. Nunua usafiri eg gari, pikipiki uwe unafanya tour za hapa na pale ku refresh mind.
5. Jiwekezee jwa kununua mashamba, viwanja na miradi ya hapa na pale.

Kazi ufanye ww, kuwasaidie uwasaidie ww, kukudharau wakudharau ww. Mxxxx
Thumb Up👍
 
Una kapepo mkuu kanataka kakuingize kwenye matatizo zaidi hasa ya kiafya huko ndo utatamani inter sumu upotee.

Niamin huko siko.!
 
Oya mwanangu, pole sana.

Ww si umeshawasomesha na kujua tabia zao?

Si umekua ukimtumia hela mama na kumjaki lkn hakuthamini?

Si mkeo anakudharau na kukukejeri?

Si una kazi yako nzuri tu ya kukupa pesa?

Sasa mwanaume mwenzangu fanya ivi;

1. Sitisha misaada yote kwa ndugu zako.
2. Sitisha msaada kwa mama yako mpaka pale atakapojua umuhimu wako. Hapa nakazia mpaka atakapojua umuhimu wako na uendelee kumsaidia.
3. Huyo mke piga chini asije kukuua. Kama unataka mwanamke nenda kijijini uoe housewie uendelee kula maisha.
4. Nunua usafiri eg gari, pikipiki uwe unafanya tour za hapa na pale ku refresh mind.
5. Jiwekezee jwa kununua mashamba, viwanja na miradi ya hapa na pale.

Kazi ufanye ww, kuwasaidie uwasaidie ww, kukudharau wakudharau ww. Mxxxx
Huo ushauri namba tatu unazidi kumpotosha, hiyo mentality ya wanawake wa vijijini ndio wanafaa kuolewa kwa sababu ya ushamba wao ni ya miaka ya 80 kurudi nyuma....huu ni ulimwengu wa IOS, android nk... asijaribu hiyo kitu, atakuja juta.

...atafute mwanamke anayejielewa na mwenye hofu ya kweli ya Mungu •full stop......tatizo ni kwamba sisi wanaume % kubwa yetu hatujielewi na hatumjui Mungu ......halafu tunataka aina hiyo ya mwanamke (ngumu sanaa) . ..
 
Uamuzi uliochukua ni sahihi ila fanya kistaarabu, kua makini na afya yako
 
Hata kama hutaki ushauri utapewa tuu..kwanza kama ulikuwa hujui ni kwamba hayo yote yamekukuta ulikuwa ni mtego wa shetani ili uingie kwenye ulevi na umalaya mwisho ufe uende motoni..rudi nyuma ukatubu dhambi zako na uanze maisha yako ya kumpendeza Mungu.

Usije kurudia tena kujaribu kutaka kufurahisha watu ,HUTAWEZA FURAHI MWENYEWE CIZ MAISHA NI MAFUPI
 
Take your life mkuu trust me utapunguza pain

Mimi mwaka 2016 nilikunywa dawa ya kuua wadudu wa kahawa nina miaka 6 toka nife ni burudani mkuu
 
Nimekata tamaa; Nimepigika, nimeteswa, nimedharauriwa, nimeumizwa , sasa Basi !

Ndugu zangu wana MMU kama ambavyo nimetanguliza hapo awali sina namna tena.

Dunia kwangu imekuwa chungu mno. Sioni jema wala.zuri katika dunia hii ya wanadamu. Pengine huko mbinguni aliko Mungu. Ili angalau nipate nafuu ya maumivu moyoni nawiwa kushare hapa.

Nimeumizwa sana na jamii. Kwenye siasa nimeumia sana. Kwenye jamii hivyo hivyo. Kwenye familia nina machungu makali mno. Kazini kwa moto kama kaa la mkaa wa mawe. Ndugu zangu mimi si lolote wala chochote kwao. Kifupi najiona thamani ya kuishi duniani haipo. Mwandishi wa Biblia kitabu cha Mhubiri alisema Duniani kila kitu ni upuuzi mtupu. Naungana naye kwa leo.

Ni hivi; katika makuzi yangu nilikulia mikononi mwa Mama yangu: alinilea kwa shida sana mimi na wadogo zangu. Nikiwa na miaka 9 nilianza kushirikiana na mama kutafuta kipato ili tupate japo mkate wa kila siku. Nilijishughulisha na kazi mbali mbali ikiwemo kilimo, biashara ya kuuza miwa, kuokota mavi ya ngombe na kuuza kama chanzo cha samadi, nimekata nyasi kwa ajili ya kuuzia watu wenye mifugo.

Wakati wote huo pamoja na maisha hayo nilikuwa na faraja maana siku zote mama yangu alitupa moyo mimi na wadogo zangu. Alipambana kila wakati na alidanganya hapa na pale ili tupate kuishi. Nakiri kabisa mama yangu hakuwahi kuwa mwizi wala kumuona akiwa na wanaume wengine kwa ajili ya kutafuta unafuu wa maisha. Baba yangu aliishi mjini na huko alifanya kazi ya kujiajiri na kuoa wake wengine na kutapanya mali.

Nikiwa na miaka 10 nilianza darasa la kwanza hadi nikamaliza form 4. Na nikajiunga na kidato cha kwanza hadi Elimu ya juu.

Wakati wote huo mimi nilikuwa mlezi kwa wadogo zangu na familia yangu kwa ujumla. Niliamini nitapambana hadi tufike mahali maisha yawe bora au atleast nafuu.

Sasa kazi ikaanza. Nikapata job nzuri ambayo inanilipa mshahara mzuri wa kuridhisha. Nikasema asante Mungu. Nitahakikisha wadogo zangu wote wanasoma na kufika pazuiri waliofeli nikawarudisha shuleni na wengine ku-resit mitihani yao. Alhamdulillah hawakuaniangusha wakafaulu nikawaendeleza vyuoni na sasa wengine wameahamaliza wana maisha yao.

Wengine wakawa wananidhihaki eti toka umefanya kazi una nini mpaka leo. Mbona hakuna ulichofanya cha kuendeleza maisha?? Nafsi yangu ikawa inaumia sana nikiona pesa nyingi nilizotumia kuwanyanyua wadogo zangu wa kike na wa kiume.

Kazini nilikuwa mchapa kazi Mkurugenzi wa shirika akanipa cheo kuwa msimamizi wa operasheni. Hapo ikawa kasheshe...wafanya kazi hawanisikilizi wala kutekeleza maagizo yangu. Mimi ni mkristo naamini katika kutenda haki sikuwahi kumwonea mfanya kazi yeyote. Nilifanya kazi kwa kuzingatia miongozo, kanuni, taratibu na ubinadamu. Pia. Nilijipambanua kuwa kiongozi bora lakini ikafika mahala baadhi ya wafanya kazi waliochini yangu kwenda kunisema kwa boss kuwa nawaonea( wafaya kazi hawa wana undugu na boss) nilifanyiwa kikao na Bodi ya wakurugenzi wakasikiliza malalamiko yao na hoja zangu. Wajumbe wa Bodi walikiri kuwa hawaoni Tatizo wala kasoro yoyote ktk utendaji wangu na kwamba malalamiko yaliyopelekwa na baadhi ya wafanya kazi wenzangu hayana msingi hapo nikapona.

Ikaja katika kundi la wateja yaani wapokea huduma zetu. vibwanga kila kukicha. Hata niwape huduma gani basi malalamiko chini kwa chini hayakosi. Wengine Wakinitolea maneno ya dharau pengine kwa mwonekano wangu wa upole na ushamba kidogo lakini kutokana na kazi yangu ya Wito nawiwa kuwa mvumilivu tu na kusonga mbele.

Mke wangu naye hivyo hivyo haoni kama nafanya chochote kwenye familia. Napewa maneno ya kashifa ya kuudhi na kejeli. Mimi silali mchana wala usiku natafuta maisha. Nafanya kazi kampuni nikitoka naunganisha kwenye kazi zangu binafsi ili kuongeza mpunga.

Wazazi wangu nao hivyo hivyo, nawasikia wakinisema wazi wazi vimaneno vya kejeli kuwa maisha yatanipiga. Ni kama wanafurahi au wanatamani yanipige na mimi sipo tayari kwa hilo labda Mungu mwenyewe akatae.

Huku kwenye mahusaiano ya kimapenzi naomba nisiguse kabisa hali ni mbaya mno. Mimi ni wa kuumizwa tuu. Sijui neema ya dunia hii. Wanafaidi wengine.

Ili ku-make maisha mazuri na kulinda afya yangu nilikataa kata kata kunywa pombe wala kilevi cha aina yoyote nilikataa mambo ya wanawake na utumwa wa mapenzi. Mapenzi yangu yoote niliwapa wadogo zangu. Kiukweli wadogo zangu hawa tisa(9) nawapenda sana. Huniambii kitu juu yao nimewalea toka wanazaliwa hadi sasa ni wakubwa wa mwisho yuko form four now.

Kwa kuwa nimefika mwishi sioni Jema wala zuri katika dunia hii sasa Basi! imekwisha.

Nataka nianze kufaidi pesa zangu mimi mwenyewe. Sitaki mtu anisemeshe. Mimi na maisha yangu. Binadamu nimewachoka. Nitakunywa Pombe mpaka nitapike. Nitavuta sigara mpaka mapafu yakome. Nitalala kwenye madanguro. Nitahonga sana. Nataka ku- neurtralize my sadness. Siwezi kuwa mimi ni wa uchungu tu maisha yangu yote. Siwezi kuwa mimi wa majonzi tu mpaka nife.

Lengo la thread hii sio kutaka ushauri wala nini nataka wengine mjue kuwa tuko tunaoishi na machungu tangu tunazaliwa mpaka tunakufa. Ukiona una furaha katika maisha yako basi ilinde furaha hiyo wengine hatuna bahati.

Asalam aleykum.
Duuh asee
 
Back
Top Bottom