Nimekata tamaa, nimepigika, nimeteswa, nimedharauliwa, nimeumizwa, sasa basi!

Nimekata tamaa, nimepigika, nimeteswa, nimedharauliwa, nimeumizwa, sasa basi!

Nakubaliana na mleta mada follow your heart, sometimes inner peace inakuja kwa kufanya kile nafsi inataka. Ingawa ni bora zaidi angeangalia ni vitu gani vya kufanya ambavyo havitakua na madhara kwake pamoja na wapendwa wake
Well
 
Hapo mwisho umemalizia vizuri kwamba sasa unakula bata la maana. Nafurahi umeligundua mapema. Binadamu hata umfanye nini haridhiki. Kumbuka self care is not selfish. Maisha ni haya haya tabu haziishi hadi unaingia kaburini.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa aliimba Mbaraka Mwinyishekhe shida haziishi ukiwa fukara ndio kabisaaaa.
 
kumbe tupo wengi tulopitia machungu ya namna hii? bt sijapenda umaliziaj wa uzi wako.

niliwasaidia ndg hadi wakatimiza ndoto zao bt cha ajabu baada yakuharibikiwa mambo walikua wakwanza kunicheka na kunidhihaki kwa watu niliumia sana kama mwanadam na nikaamua kujitenga kivyangu na familia yangu nikiyaishi majungu mazito yasiyo kifani..

siku1 nipo na mzee1 rafiki angu nikamuuliza hivi duniani kuna furaha? akanambia ipo bt kwa wachache waloishinda vita ya kiroho either kwa kuwa wacha mungu/kwa madawa ya miti shamba coz mahusiano ya binadam huharibiwa katika ulimwengu wa roho yaani utu wako na thamani yako inaharibiwa mbele za watu kitu ambacho husababisha kudharauliwa, kuchekwa na kuonekana usie na thaman..

hakika sikumuelewa bt niliuliza tena je kuna uwezekano nami kua na furaha? akajibu inawezekana ikiwa utafanikiwa kuzidhibiti athari hizo, dah! nilivuta pumzi kubwa kisha nikamwomba msaada zaidi..

hakua na hiyana alinipa msaada zaidi hadi leo ninamahusiano mazuri na ndgu na wananiheshmu.
Asante kw ushuhuda wako. Shuhuda kama hizi zinaponya roho za watu wengine. Hapa MMU ndio Mahali haswaaa. Kumbe kulikuwa na Roho mbaya hapo eeh!
 
Hapa ndipo nasemaga swala la Mungu ni myth.Haiwezekani binadamu wateseke afu eti tupo majaribuni na anatujua kabla hatujazaliwa.

Anasema tusimfate shetani.Lakini shetani ni kiumbe wake si amteketeze watu tule bata.

Pole bwana
Mimi mwenyewe nimekuwa nikiwaza kama wewe. Hadi leo sipati majibu. Unaweza ukakufuru kwa kweli.
 
Kuna jinsi ukiishi unakua Victim wa manyanyaso yani kila mtu anatamani akuonee ... Be totally unpredictable MOTHRFUVKERZ will notice you from the distance... achana na pombe mana hizi ni za matajiri na wewe huna jambo ( kapuku ). adopt some behaviors of Apex predators yani control situations
Thanks
 
I don't condone ulevi, uzinzi na anasa zingine ila ni muhimu ukifanya kwa kiasi na umakini. Ilibidi uanze haya mapema kuvent out your frustrations all along. Maisha yafaa nini bila furaha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kama uko tungi tayari. Alafu umesema una mke!!!
 
Asante kw ushuhuda wako. Shuhuda kama hizi zinaponya roho za watu wengine. Hapa MMU ndio Mahali haswaaa. Kumbe kulikuwa na Roho mbaya hapo eeh!
mkuu ni wengi sana walopitia hali hizo bt walipotambua tatizo ndo ukawa mwanzo wa maisha ya furaha kwao
 
You are a great guy/person sikujui personally lakini nimekuelewa. Una maisha kazi nzuri etc shida yako kubwa na kinachokufanya uteseke ni tabia yako ya kuhitaji kuwaridhisha watu. Binadamu huwezi kumridhisha no matter how much u try. Hata kama ukichukua mshahara wako wote ukampa mama yako bado hautokua favourite wake. Zaidi atakulalamikia. Acha tabia ya kua people pleaser saidi kadri ya uwezo wako lakini usitegemee positive feedback. Hutopata kutoka kwa wafanyakazi wenzio, mkeo ndugu zako etc zaidi utaonekana bwege tu usie na akili badala ujenge/ ununue gari unawahonga wao. Ishi maisha yako, kua selfish kidogo, kua na boundaries. Kua disminder heshima itakuja. Binadamu hawana shukrani
Watu pekee unaowasaidia wakakuelewa na kukushukuru ni watoto wako na mkeo
Wengine wote wataku disappoint
Kuna mdogo wangu nilikuwa nimeamua nimjengee kanyumba kwa mazingira ya kijijini, nikagundua ananiibia vifaa vya ujenzi wakati mafundi wanajenga banda la mbuzi pale kijijini
 
Watu pekee unaowasaidia wakakuelewa na kukushukuru ni watoto wako na mkeo
Wengine wote wataku disappoint
Kuna mdogo wangu nilikuwa nimeamua nimjengee kanyumba kwa mazingira ya kijijini, nikagundua ananiibia vifaa vya ujenzi wakati mafundi wanajenga banda la mbuzi pale kijijini
😀😀mwanadamu sijui ana nini kwa kweli, yaani shetani anamwambia iba ili awavuruge msisaidiane tena mbeleni
Usipoona the big picture behind Satan s work umekwishaaaa,shetani anafanya kazi kwa viwango, anavuruga maisha yajayo(future) yako na wanao kwa kutumia vinafasi vidogo vidogo sana, ana mbinu zilizojificha na wazi, za hatari na salama, satan is a deceiver, a liar, a manipulator usipogundua you are finished!
 
Dah tupo wengi mkuu, personally nimepambana sana kuisaidia familia na ndugu yyte mwenye ttzo, hali iliyopelekea kutoinvest sana katika maisha yangu binafsi zaid ya kujiendeleza na shule. Above all, sijawahi kuwa appreciated na wazaz wala ndugu, na ikitokea kuna jambo sijatatua, nakua miongoni mwa watu wa hovyo sana machoni mwao! Nlichoamua kwa sasa, moja, kutulia na wife na kufanya ishu zetu nje ya mkoa wa home, mbili nafanya lile ambalo tu haliathiri mipango yangu! Hata ufanye nn, furaha haitoki kwa ndugu mkuu.....karibu makao makuu ya nchi tulime alizeti (joking)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom