You are a great guy/person sikujui personally lakini nimekuelewa. Una maisha kazi nzuri etc shida yako kubwa na kinachokufanya uteseke ni tabia yako ya kuhitaji kuwaridhisha watu. Binadamu huwezi kumridhisha no matter how much u try. Hata kama ukichukua mshahara wako wote ukampa mama yako bado hautokua favourite wake. Zaidi atakulalamikia. Acha tabia ya kua people pleaser saidi kadri ya uwezo wako lakini usitegemee positive feedback. Hutopata kutoka kwa wafanyakazi wenzio, mkeo ndugu zako etc zaidi utaonekana bwege tu usie na akili badala ujenge/ ununue gari unawahonga wao. Ishi maisha yako, kua selfish kidogo, kua na boundaries. Kua disminder heshima itakuja. Binadamu hawana shukrani