Nimekata tamaa, nimepigika, nimeteswa, nimedharauliwa, nimeumizwa, sasa basi!

Hapa ndio ndio kwenye point ya msingi ponda raha mwanawane ponda raha kufa unakufa mara 1 tu ukifa haurudi tena na ukifa watu wanaziwahi akaunti zako za bank kuchungulia umeacha nini ili waanze kuendeleza ulipoishi unaweza usizivutie sigara usizinywee pombe ukifa kuna muhuni atazivutia na kuzinywea na umezitafuta wewe mwanawane, mwadelababa gawiza !!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…