zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Labda mimba imejirudia emu tuone huo uziLakini madam hii mimba ya miezi 8 ni toka mwaka jana August inakuwaje inabaki hivyo hujazaa? Kuna uzi wako uliweka August ukasema una mimba ya miezi 8
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda mimba imejirudia emu tuone huo uziLakini madam hii mimba ya miezi 8 ni toka mwaka jana August inakuwaje inabaki hivyo hujazaa? Kuna uzi wako uliweka August ukasema una mimba ya miezi 8
Sawa sawa mkuu. Nimeona. Tatizo lipoNimepitia nyuzi zake za nyuma, tatizo linaanzia kwake sio kwa mumewe.
Pesa na shughuli ya kufanya sidhani kama ni shida kwake ila mbongo kidogo ina hitilafu.
Nimeshindwa jinsi ya kuweka link ila ni uzi aliweka mwezi Oct una tittle " Wanandoa hii imekaaje?" Nenda kauchekiLabda mimba imejirudia emu tuone huo uzi
Ata ingekuwa wewe ungeendelea kukua huko tumboni uzaliwe kama muhusika mwenyewe anataka kujidedisha?Lakini madam hii mimba ya miezi 8 ni toka mwaka jana October inakuwaje inabaki hivyo hujazaa? Kuna uzi wako uliweka August ukasema una mimba ya miezi 8
Hadi sasa itakua ina miezi mingapi km October ilikua miezi 8, 11Nimeshindwa jinsi ya kuweka link ila ni uzi aliweka mwezi Oct una tittle " Wanandoa hii imekaaje?" Nenda kaucheki
Miez 8
Muwa anataka muwa zaidi kuliko kitu chochote aukamue muwaSawa sawa mkuu. Nimeona. Tatizo lipo
Jitahidi jikaze yako madogo wenzio tumetoka jela muda sio mrefu na tumeanza upya
Huyu anaweza kujiua kweli kama yule member mpauko.Huyu madam kaanza kulalamikia mapenzi tangu 2014 huko,kwa kuangalia nyuzi zake
Upendo wako unaweza kuhamishia kwa watoto wako...focus kwenye kazi,afya yako na watoto wako,sali sana,jali muonekano wako na jitahidi kuacha hii tabia kama bado unayo Siipendi hii tabia, lakini nashindwa kuiacha
Pole
Unataka kujiondoa,we si ulichukua cheti na ukala kiapo na wali ukala na ukaahidi utavumilia mpaka kifo kiwatenganishe,sasa nini tena unataka kukatisha safari yako ya maisha kabla mwenyewe mtoa uhai hajakuruhusu...?Nimekata tamaa ndoa inatesa sana.
Nyumbani hakuna mtu baba alishafariki, mama ni mgonjwa kapata stroke yupo kwa ndugu anatibiwa.
Kwangu kunawaka moto, hapa nipo Mjamzito miez 8. Nawaza usiku silali natamani nijiondoe tu duniani nawaza ninawatoto 2 nawaacha wapi ambapo watanisahau kwa haraka?
Mazingira uliyopo na watu wanaokuzunguka ndo ninavyokufanya uone kama dunia imekulemea peke ako. Watu wengi wanapitia hali yako, jaribu kuvumilia na kubadilisha pattern za siku yako na utaondoka kwenye hilo wingu jeusi soon...nakusubiri baada ya wiki mbili utakavyosaidia wengine wanaopitia unayopitia...see you soon hereNimekata tamaa ndoa inatesa sana.
Nyumbani hakuna mtu baba alishafariki, mama ni mgonjwa kapata stroke yupo kwa ndugu anatibiwa.
Kwangu kunawaka moto, hapa nipo Mjamzito miez 8. Nawaza usiku silali natamani nijiondoe tu duniani nawaza ninawatoto 2 nawaacha wapi ambapo watanisahau kwa haraka?
Nimekata tamaa ndoa inatesa sana.
Nyumbani hakuna mtu baba alishafariki, mama ni mgonjwa kapata stroke yupo kwa ndugu anatibiwa.
Kwangu kunawaka moto, hapa nipo Mjamzito miez 8. Nawaza usiku silali natamani nijiondoe tu duniani nawaza ninawatoto 2 nawaacha wapi ambapo watanisahau kwa haraka?
Becky hujambo? Sijakuona mda my favourite lady.Pole sana mkuu, mimi nakushauri utafute mtaalamu wa ushauri nasaha au akili akusaidie hautatoka mtupu mamii. Sababu watu wengi wanaojiua huwa wanasemaga kabla hawajajiua kweli. This is cry for help kwa wale ambao wanajua. Huyu mtu kashaanza ku contemplate death, asipopata msaada ataendelea kureason why death is better for her. Tafuta msaada kwa wataalam zaidi au share na ndugu zako wa karibu waambie unahitaji msaada wa daktari wakusaidie, Pole sana wanaume wanajua kuvuruga sana.
Usikate tamaa,hebu nyoosha maelezo nyumbani hapo ni kwa nani? umeolewa au vipi,tupe maelezo ya kutosha ili watu wakusaidieNimekata tamaa ndoa inatesa sana.
Nyumbani hakuna mtu baba alishafariki, mama ni mgonjwa kapata stroke yupo kwa ndugu anatibiwa.
Kwangu kunawaka moto, hapa nipo Mjamzito miez 8. Nawaza usiku silali natamani nijiondoe tu duniani nawaza ninawatoto 2 nawaacha wapi ambapo watanisahau kwa haraka?
Anza kwanza kutibu hii 👇👇👇
Siipendi hii tabia, lakini nashindwa kuiacha
wanasema ukiyajua matatizo yako bàsi unaenda kupona. Lakini kwangu ni tofauti mimi ni mama wa watoto 2, baba wawili tofauti... Ninatatizo sijui linatokana na nini na ni hali ambayo kwa sasa nimegundua ninatatizo na najichukia lkn siwezi kujicontrol 2013 niliolewa na kijana mzuri anakazi nzuri...www.jamiiforums.com
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Sio baba yao, baba zao.Baba yao yuko wapi?