Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona tumekuletea umeikataa na kusema haisomeki vizuri na imeandikwa kwa kiinglish?Kwema Wakuu
Nimeletewa barua ya serikali za mitaa ikiwa na wito WA kutaka niende ofisi za serikali za mitaa.
Kisa na mkasa NI kugoma kulipa Pesa ya taka na ulinzi àmbayo haizidi elfu Tano. Yàani taka 3,000/= ulinzi 2000/=
Walijaribu kunipa risiti za kawaida nikawakatalia nikawaambia waje na EFD mashine au wanipe control number. Vita ikawa kûbwa.
Wakaniambia oooh! Machine NI Moja sijui eneo NI kûbwa
Nikawaambia hiyohiyo moja waje nayo Siku wakija kuchukua Pesa kwangu.
Ñàona wakaniona mtata wakaishia kunitisha.
Sijui niogope!
Nikawaambia wakamwambie mtendaji kuwa kuna kijana hataki kutoa Pesa ya taka na ulinzi Bila kuwa risiti za EFD au kulipia control number.
Hapa ndîo nimeletewa barua, nafikiri mchana nitaenda.
Nimewaambia sina tatizo na kutoa Pesa za ulinzi na Taka ila ninachohitaji EFD machine wanipe risiti au wanipe control number. Vinginevyo sitatoa
TRA Tanzania
Tunaomba muongozo katika suala hili la Pesa za ulinzi na taka zinazokusanywa huku mitaani. Je ni Halali Watu watoe Pesa za taka na ulinzi pasipo risiti za EFD?
Nataka kuuliza serikali za mitaa na serikali Kuu. NI Kwa nini hawa wanaochukua Pesa za takataka na ulinzi hawatoi risiti za EFD?
Robert Heriel
Sokomokoni
Shida ma changamoto hii iko kwenye soko la samaki wabichi kirumba Mwanza kwa Kishimba getini pale vijana wanakusanya pesa bila kutoa risiti yeopte. wizi mtupu. Mkurugenzi wa Halmashauri chukua hatua.Ujiandae pia na sokomoko
We' ndugu ni mnufaika wa hizo hela nn...!?Dogo acha ujuaji ujuaji. Kuna mambo mengine unapotezea tu kuepukana na sintofaham za hapa na pale.
Kila mtu Tanzania ni mwizi na mpigaji kwenye nafasi yake.
Huo muda wa kuitikia wito ungefanya mambo mengine muhimu.
Potezea tu.
Ulikuwa apeche alolo tu.Ulibaki na buku la kununulia bando uperuzie JeieFu.😎Nilibishana na wakusanya kodi ya taka na ulinzi shirikishi. Tena walikua mbaba na mmama, had mmama akasema mtoto mbishi wee.
Nilimjibu pesa yangu itatoka kihalali, na huo uhalali uwe halisi.
Sitakii utanii kabisaa, khaaaaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwenye pesa niko mtata zaidi ya mchaga.Ulikuwa apeche alolo tu.Ulibaki na buku la kununulia bando uperuzie JeieFu.[emoji41]
Mamaa Mbesaaa!Ati eenh?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwenye pesa niko mtata zaidi ya mchaga.
Pesa yangu ikitokaa ujue hapo kila kitu kimenyooka, sina utani na pesaa yangu,
Aweeee!!!
Ni pale kwenu mpitimbi?Nilibishana na wakusanya kodi ya taka na ulinzi shirikishi. Tena walikua mbaba na mmama, had mmama akasema mtoto mbishi wee.
Nilimjibu pesa yangu itatoka kihalali, na huo uhalali uwe halisi.
Sitakii utanii kabisaa, khaaaaah
Afu Mpitimbi kwetu ni town, hospital ya wilaya iko kulee.Ni pale kwenu mpitimbi?
Unakuja lini nikupokee hapa lizabonAfu Mpitimbi kwetu ni town, hospital ya wilaya iko kulee.
Pale misheni pamewakaa hatariii!! Kitimoto kwa Meni,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nshapamic home, kule B kumekuchaaa nakooo.
Buku 5 tu ..toa