Nimekataa kulipa Pesa ya Taka na ulinzi kama hawatanipa risiti za EFD. Nimepewa barua ya wito serikali za mitaa

Mbona tumekuletea umeikataa na kusema haisomeki vizuri na imeandikwa kwa kiinglish?
NB;Hivi,DSM mkikatiwa risiti za makaratasi za EFD huoni kwamba mji wote utajaa uchafu wa makaratasi na kufunika anga lote?Tii mamlaka,mpe Kaizari yaliyo ya Kaizari.
 
Dogo acha ujuaji ujuaji. Kuna mambo mengine unapotezea tu kuepukana na sintofaham za hapa na pale.

Kila mtu Tanzania ni mwizi na mpigaji kwenye nafasi yake.

Huo muda wa kuitikia wito ungefanya mambo mengine muhimu.

Potezea tu.
We' ndugu ni mnufaika wa hizo hela nn...!?
 
Nilibishana na wakusanya kodi ya taka na ulinzi shirikishi. Tena walikua mbaba na mmama, had mmama akasema mtoto mbishi wee.

Nilimjibu pesa yangu itatoka kihalali, na huo uhalali uwe halisi.
Sitakii utanii kabisaa, khaaaaah
Ulikuwa apeche alolo tu.Ulibaki na buku la kununulia bando uperuzie JeieFu.😎
 
Nilibishana na wakusanya kodi ya taka na ulinzi shirikishi. Tena walikua mbaba na mmama, had mmama akasema mtoto mbishi wee.

Nilimjibu pesa yangu itatoka kihalali, na huo uhalali uwe halisi.
Sitakii utanii kabisaa, khaaaaah
Ni pale kwenu mpitimbi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…