Kanazingua...
KENYEWE: pipi
MIMI: haya kachukue kwenye friji
KENYEWE: taaki (yaani sitaki) kana 2yrs ka kiume
MIMI : Unataka nini
KENYEWE: ua (maana yake nivue nguo joto)
MIMI: Nimekavua nguo
KENYEWE:tuuni (maana yake niwekee katuni)
MIMI: Nimekawekea Disney Jr
KENYEWE🙁Tena) tuuni
MIMI: Si hizoo
KENYEWE: taaki
MIMI: Sasa unataka nini
KENYEWE : Pipi, huku kanalia
MIMI: kachukue kwenye friji...Nikanyanyuka nikachukulie
MIMI: Haya shika
KENYEWE: taakii
MIMI(Kimoyomoyo) : unazingua...Nimekandandika mabao ka mawili hivi hali hakajavaa nguo...nikakalazimisha kalale...
Heshima kwa wanawake wote na mabeki tatu kwa kazi ngumu ya kulea hawa binadamu wadogo,haki! ni wasumbufu sana...Love has its limitations.
Kama kuna housemaids wanatafuta kazi kwangu ipo nafasi moja...
Nikiwa off Bora kushinda bar mambo ya kuachiwa mtoto Haya sio