Nimekatandika

Yaani huo usumbufu ndo raha ya kubaki na mtoto, hukutakiwa kukatandika hako ni bado kamalaika
Mkuu haka kadogo sijawahi hata kukagombeza...maza Ake kila siku wanacharurana kanakimbilia kwangu...sasa ni kama kameanza kujifunza kudeka ndugu zake sikuwalea hivyo,so leo nimeka surprise na mabao ili kajue mshua nae anaweza kuwa discipline master...Ila kanapendwa Sana tu,suala kasinyimwe mapigo maana yanasaidia kufundisha sometimes,...mabao unayapima kulingana na umri...
 
aisee!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…