Dah.... Kumbe ulikuwa wewe jana?....una bahati sana.... maana ungepotea [emoji87] [emoji41] [emoji13]Haina haja mkuu lakini nimeamini Mungu ni mkuu hamuachi mwanaye mpendwa apotee.
Mapito tu mkuu ndio maana nimeacha kukosoa tena.we jamaa siku zile si ulikuwa mungu wa kwenye bible ni wa uongo
Kweli tumuombee Mungu amsaidie tusimsahau Al-Watan.Namuombea 'ndugu yako' Nusu hela naye afunguliwe kama wewe...
[emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mkuu fungua kanisa uliite JAMIIRORUM.
Huyo atakuwa mwingine hahahahDah.... Kumbe ulikuwa wewe jana?....una bahati sana.... maana ungepotea [emoji87] [emoji41] [emoji13]
HahahaWEWE USIJE KWA STYLE HIO YA UJANJA WA KUKATA MKASI MBELE HUKU INATIWA VIDOLE NYUMA[emoji1321]
MIMI BINAFSI NI MUISLAMU HALISIA NA BIBLIA NAIJUA KULIKO UNAVYOIJUA WEWE,,
HAYA FUNGUKA HIO KASORO YAKO ULIOIKOSOA MPAKA UKAIJUTIA[emoji1321]
USILETE USANII KATIKA JUMBA LA SANAA,,[emoji1321]
?????????Mimi ni member ambaye sina umaarufu wowote hapa JF.Lakini siku chache zilizopita nimekuwa mpinzani mkubwa wa vitabu vya dini hasahasa Biblia nikidai ni kitabu cha uongo na cha kufikirika.
Lakini Jana usiku Mwenyezi Mungu Mungu kanionyesha muujiza kuhusu Biblia ndio maana nimekuja hapa kuomba msamaha na kukoma kuikosoa Biblia.
Hakika Mungu ni mkuu na vitabu vyake alivyotuachia ni vya ukweli.Nimezaliwa kwenye familia ya kisabato mara ya mwisho kwenda kanisani ilikuwa kipindi niko form three ila Leo naenda.
Mungu awabariki.
Engeelezea kiundani ingesaidiaMimi ni member ambaye sina umaarufu wowote hapa JF.Lakini siku chache zilizopita nimekuwa mpinzani mkubwa wa vitabu vya dini hasahasa Biblia nikidai ni kitabu cha uongo na cha kufikirika.
Lakini Jana usiku Mwenyezi Mungu Mungu kanionyesha muujiza kuhusu Biblia ndio maana nimekuja hapa kuomba msamaha na kukoma kuikosoa Biblia.
Hakika Mungu ni mkuu na vitabu vyake alivyotuachia ni vya ukweli.Nimezaliwa kwenye familia ya kisabato mara ya mwisho kwenda kanisani ilikuwa kipindi niko form three ila Leo naenda.
Mungu awabariki.
Mungu hadhihakiwiMimi ni member ambaye sina umaarufu wowote hapa JF.Lakini siku chache zilizopita nimekuwa mpinzani mkubwa wa vitabu vya dini hasahasa Biblia nikidai ni kitabu cha uongo na cha kufikirika.
Lakini Jana usiku Mwenyezi Mungu Mungu kanionyesha muujiza kuhusu Biblia ndio maana nimekuja hapa kuomba msamaha na kukoma kuikosoa Biblia.
Hakika Mungu ni mkuu na vitabu vyake alivyotuachia ni vya ukweli.Nimezaliwa kwenye familia ya kisabato mara ya mwisho kwenda kanisani ilikuwa kipindi niko form three ila Leo naenda.
Mungu awabariki.
Hata ktosadiki kuwa Yesu n mwana wa Mungu n kufuru mbaya[emoji17] [emoji17]Ulikuwa unakosoaje
Kivipi yaaniSio maarufu kwahiyo unautafuta kwa nguvu eeh
Sahihi ubarikiweNi kweli watu ukosea kwenda. Biblia na Quraan ni vitabu vinavyiopaswa kuheshimika.