Nimekoma kuikosoa Biblia hapa JF

Nimekoma kuikosoa Biblia hapa JF

Mungu Wangu Ee Mungu Twakushukuru
Twakushukuru Kwa Kuwa Wema Wako Ukaribu
Utakapofikia Wakati Ulioamuliwa Wewe Utahukumu Kwa Haki
 
Mimi ni member ambaye sina umaarufu wowote hapa JF.Lakini siku chache zilizopita nimekuwa mpinzani mkubwa wa vitabu vya dini hasahasa Biblia nikidai ni kitabu cha uongo na cha kufikirika.

Lakini Jana usiku Mwenyezi Mungu Mungu kanionyesha muujiza kuhusu Biblia ndio maana nimekuja hapa kuomba msamaha na kukoma kuikosoa Biblia.

Hakika Mungu ni mkuu na vitabu vyake alivyotuachia ni vya ukweli.Nimezaliwa kwenye familia ya kisabato mara ya mwisho kwenda kanisani ilikuwa kipindi niko form three ila Leo naenda.

Mungu awabariki.

WEWE USIJE KWA STYLE HIO YA UJANJA WA KUKATA MKASI MBELE HUKU INATIWA VIDOLE NYUMA[emoji1321]
MIMI BINAFSI NI MUISLAMU HALISIA NA BIBLIA NAIJUA KULIKO UNAVYOIJUA WEWE,,
HAYA FUNGUKA HIO KASORO YAKO ULIOIKOSOA MPAKA UKAIJUTIA[emoji1321]
USILETE USANII KATIKA JUMBA LA SANAA,,[emoji1321]
 
zephaniah 1:7 Nyamaza kimya mbele za Bwana MUNGU; Kwa maana siku ya Bwana i karibu; Kwa kuwa Bwana ameweka tayari dhabihu, Amewatakasa wageni wake.
 
WEWE USIJE KWA STYLE HIO YA UJANJA WA KUKATA MKASI MBELE HUKU INATIWA VIDOLE NYUMA[emoji1321]
MIMI BINAFSI NI MUISLAMU HALISIA NA BIBLIA NAIJUA KULIKO UNAVYOIJUA WEWE,,
HAYA FUNGUKA HIO KASORO YAKO ULIOIKOSOA MPAKA UKAIJUTIA[emoji1321]
USILETE USANII KATIKA JUMBA LA SANAA,,[emoji1321]
Leo sijaja kubishana kuhusiana na Biblia kama unaijua kuzidi mimi haina shida mkuu.

Mungu akubariki.

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
 
Mimi ni member ambaye sina umaarufu wowote hapa JF.Lakini siku chache zilizopita nimekuwa mpinzani mkubwa wa vitabu vya dini hasahasa Biblia nikidai ni kitabu cha uongo na cha kufikirika.

Lakini Jana usiku Mwenyezi Mungu Mungu kanionyesha muujiza kuhusu Biblia ndio maana nimekuja hapa kuomba msamaha na kukoma kuikosoa Biblia.

Hakika Mungu ni mkuu na vitabu vyake alivyotuachia ni vya ukweli.Nimezaliwa kwenye familia ya kisabato mara ya mwisho kwenda kanisani ilikuwa kipindi niko form three ila Leo naenda.

Mungu awabariki.
Ukiifahamu kweli itakuweka huru, sabato njema mkuu.
 
Ni jambo jema MUNGU amekufunulia kuhusu ukuu wake,sasa enenda ukautangaze ukuu wake kwa mataifa yote.
 
Back
Top Bottom