Nimekoma kuingiza Malaya ndani ya nyumba,never again

𝙼𝚠𝚊𝚔𝚊 𝚑𝚞𝚞 𝚊𝚞 𝚗𝚒 𝚔𝚒𝚝𝚊𝚖𝚋𝚘 𝚖𝚊𝚊𝚗𝚊 𝚗𝚍𝚒𝚘 𝚔𝚠𝚊𝚗𝚣𝚊 𝚝𝚞𝚔𝚘 𝚗𝚊 𝚝𝚊𝚛 3 𝚝𝚊𝚢𝚊𝚛𝚒 𝚖𝚜𝚑𝚊𝚊𝚗𝚣𝚊 𝙼𝚊𝚓𝚊𝚗𝚐𝚊
 
 
HaHaHaHaHa Leo umeingia cha Kike haswaa..Hii ilimkuta mwanangu mmoja Tulimcheka sana.kaingiza Malaya kwao hawakulipana Likaanza kutoa matusi ya kufa mtu
Noma sana we sikia tuu
 

Nb mtanisamehe Mimi sio mwNdish mzuri, chamsingi ujumbe
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Umekaa kisichana ndo maana amekuzingua.
Ulipomuonesha kisu, alitii na kusepa.


Siku nyingine ukipata Malaya mlipe Hela yake, akileta mapichapicha piga nondo ya mguuni.

Ukiinyanua ya pili atasepa
 
Mkuu nimekusoma vizuri bandiko lako,,

Lakini next time malaya akisema halali hupaswi kupambana nae,

Mpige show za kibabe atabadili mawazo baadae na kesho atarudi tena umle bure.

Jikite Zaidi kwenye show kuliko kwenye hamasa za ujaza uwanja.
 
Ukichukua malaya hakikisha anavua nguo zote ili uhakiki ngozi yake. MIAKA hiyo nilichukua Malaya tukaenda Moshi hotel Jirani na Tiptop, baada ya kuingia room akataka akaoge kwanza. Ile amevua nguo nilihisi nomechukua fisi. Mwili wake umejaa mabaka baka nikajua hapa naondoka na ukurutu. Nilimwachia pesa yake na kumwambia nafuata bia pale kaunta.
Sikurudi Tena.
 
umepeleka nuksi nyumbani
 
Kosa lako kubwa ni kuchukua Malaya wa 5000 ukidhani wa 40000

Njoo nikuunganisha na 40000 pure wala hawatokusumbua kamwe
Huyu kakosea Malaya WA 40k hawana hizo vurugu. Amechanganya madawa akachukua WA 5k[emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…