Nimekoma kuingiza Malaya ndani ya nyumba,never again

Hii ya kumtishia kisu noma, ila kuna siku utakuja mchoma kweli
 
Hii ishawahi kumtokea mwanangu mmoja hv enzi izo tupo a-level, ka-import malaya home kwao kwa kawaida anawatoaga asubuhi sana kabla hajaamka mtu yoyote sasa siku iyo kapitiwa na usingizi anashtuka saa 4 asubuhi nyumba nzima washaamka, kanicheki kuona tunafanyaje ikabidi tufanye mission ya kijasusi. Malaya alibaki ndani kwanza mpaka wakubwa wote waondoke wakabaki madogo na beki tatu nikaibuka home kwao na video game nikawawekea madogo wakatulia sebureni yule beki tatu jamaa akamtuma dukani halafu malaya akatolewa kupitia mlango wa uwani
 

You are judgemental

Work on yourself
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…