Nimekoma

Nimekoma

Carasco Putin

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2022
Posts
10,644
Reaction score
32,375
8414d3d6-eec7-4cd8-a653-8ff15fe3b8f7.jpg
 
Wewe ni wakiume au wakike?
Una moyo aisee.
 
Wewe jamaa itakuwa huna kazi ya kufanya!
Ndani ya maasaa mawili unatuma sms mia kasoro?

Huenda binti wa watu ndani ya muda huo kaitwa na boss wake anasemwa.
Au binti kaenda kwa mshikaji mwenye hela (maana wewe huna hela, mwenye hela hatumi sms mia kasoro ndani ya dakika kadhaa kumsumbua mwanamke)
Pamoja na hayo yote ukute hujamtumia hata salio la 500 halafu unakuja hapa kusumbua na kujaza seva.
 
Kuna jamaa lipo pembeni linaonyeshwa hizo msg halafu unachekwa.

Kwa design hii unaonekana wewe ndio wale wa design za 'baby umekula' halafu shilingi moja humpi.

Acha kuwaza mapenzi kijana. Tafuta pesa. Ukiwa na pesa utajibiwa msg bila hata kutuma msg.
Haya mambo we acha tu. Siku moja nimebeba mke wa mtu niko naye geto kama sa 2 na nusu hivi usiku. Wakati namtibu moyo wa kusalitiwa na mumewe mara kwa mara, mume kapiga simu.

Wakaongea mawili matatu. Dume lipo nataka niongee na watoto. Mke akajibu wako tuition hadi watakaporudi sa 3 na nusu hivi.

Baada ya kukata kiu yangu, nikamrudisha kwao awahi muda alioahidi baba aongee na watoto.

Ogopa sana mwanamke.
 
Haya mambo we acha tu. Siku moja nimebeba mke wa mtu niko naye geto kama sa 2 na nusu hivi usiku. Wakati namtibu moyo wa kusalitiwa na mumewe mara kwa mara, mume kapiga simu.

Wakaongea mawili matatu. Dume lipo nataka niongee na watoto. Mke akajibu wako tuition hadi watakaporudi sa 3 na nusu hivi.

Baada ya kukata kiu yangu, nikamrudisha kwao awahi muda alioahidi baba aongee na watoto.

Ogopa sana mwanamke.
Acha kula wake za watu mkuu
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣..nimecheka kwa sauti..
 
Ndugu yangu kusoma hujui ata picha kutazama inakushinda embu tafuta pesa mapenzi waachie wenyewe
 
Na ukomwe haswaaa..siyo kesho urudie tena
 
Madem wasiojibu text hvyo mm ndio nawapendaga... Namsumbua sumbua na text nyingi nyingi hivyo hivyo halafu ghafla nakata mawasiliano... Baada ya wiki mbili au tatu ataanza kuleta shobo, akijichanganya kutoa mzigo tu na mm naanza kuleta pozi mwisho wa siku namtema mazima [emoji16]
 
Duh majina yote hayo ni tunda tu linatafutwa
 
Nyie ndio wakuachwa, huna shughuli nyingine za kufanya?
 
Hapo anamaanisha punguza shobo[emoji1787][emoji1787]
 
Dogo Jali muda..

Kama taifa tupo nyuma ya wakati,,, tumechelewa sana..

Acha ujinga
 
Kwani ungetuma msg moja ukasubiria majibu kungekuwa na tatizo.

Au ndo ulikuwa unatafuta sababu?
 
Tuma meseji moja, kama haijajibiwa usitume meseji nyingine. Kama mtu amepatwa na dharula hawezi kujibu meseji hata kama utatuma meseji zaidi ya kumi.
 
Back
Top Bottom