Chanzo nini?Happy new year beautiful people.
Dear nutritionists mlioko JF naomba mnishauri diet itakayonisaidia kurudisha kilo zangu zilizopotea.
Nimekonda hadi nahisi watu wanahisi nina umeme(God forbid).
NB:Siumwi chochote na kila miezi 6/mwaka huwa nafanya general health check up ikijumlisha ini ,figo,moyo,cansa ya mlango wa kizazi na matiti.(Ni kautamduni tu nimejiwekea)
Natanguliza shukrani
Hahaha.....hivi hii imethibitishwa kitaalamu?Mwambie amwagie ndani
Fanyia kazi huu ushauriMwambie amwagie ndani
Fanya diet ya kitimoto wiki mbili Tu na tako litafumuka.Happy new year beautiful people.
Dear nutritionists mlioko JF naomba mnishauri diet itakayonisaidia kurudisha kilo zangu zilizopotea.
Nimekonda hadi nahisi watu wanahisi nina umeme(God forbid).
NB:Siumwi chochote na kila miezi 6/mwaka huwa nafanya general health check up ikijumlisha ini ,figo,moyo,cansa ya mlango wa kizazi na matiti.(Ni kautamduni tu nimejiwekea)
Natanguliza shukrani
Kabisa....Mwambie amwagie ndani
Thread closed.Kula nguruwe na bia kwa kasi
Kula hovyo hovyo tuu mkuu uta nenepa hasa wanga na mafutaHappy new year beautiful people.
Dear nutritionists mlioko JF naomba mnishauri diet itakayonisaidia kurudisha kilo zangu zilizopotea.
Nimekonda hadi nahisi watu wanahisi nina umeme(God forbid).
NB:Siumwi chochote na kila miezi 6/mwaka huwa nafanya general health check up ikijumlisha ini ,figo,moyo,cansa ya mlango wa kizazi na matiti.(Ni kautamduni tu nimejiwekea)
Natanguliza shukrani
Kabla ya kufanya chochote, calculate body mass index yako..!!Happy new year beautiful people.
Dear nutritionists mlioko JF naomba mnishauri diet itakayonisaidia kurudisha kilo zangu zilizopotea.
Nimekonda hadi nahisi watu wanahisi nina umeme(God forbid).
NB:Siumwi chochote na kila miezi 6/mwaka huwa nafanya general health check up ikijumlisha ini ,figo,moyo,cansa ya mlango wa kizazi na matiti.(Ni kautamduni tu nimejiwekea)
Natanguliza shukrani