Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Google 😀Pich iko wap
Nimetoka bathroom kucheki sasa hivi inasoma 49 kawaida nakuaga 64(Mie mrefu)Umekonda?
Body weight yako imetoka ngapi mpaka ngapi?
Yes tatizo nakula kidogo sana no appetite.Je unakula mlo kamili ?
Vipi muda wa kulala unaupata?
Vipi stress zimepungua?
Nina mawazo ya kawaida kama mtu mzimaChanzo nini?
Mawazo?
164 heightKabla ya yote, una urefu wa sentimita ngapi na uzito wako kwa sasa ni kilo ngapi?
Kapime HIV kwanza.Happy new year beautiful people.
Dear nutritionists mlioko JF naomba mnishauri diet itakayonisaidia kurudisha kilo zangu zilizopotea.
Nimekonda hadi nahisi watu wanahisi nina umeme(God forbid).
NB:Siumwi chochote na kila miezi 6/mwaka huwa nafanya general health check up ikijumlisha ini ,figo,moyo,cansa ya mlango wa kizazi na matiti.(Ni kautamduni tu nimejiwekea)
Natanguliza shukrani
Bongo peke yake unene ndio deal [emoji16]
Pole sana.Happy new year beautiful people.
Dear nutritionists mlioko JF naomba mnishauri diet itakayonisaidia kurudisha kilo zangu zilizopotea.
Nimekonda hadi nahisi watu wanahisi nina umeme(God forbid).
NB:Siumwi chochote na kila miezi 6/mwaka huwa nafanya general health check up ikijumlisha ini ,figo,moyo,cansa ya mlango wa kizazi na matiti.(Ni kautamduni tu nimejiwekea)
Natanguliza shukrani
Iko shida mahali sio bure yani unakula vizuri, mawazo ya kawaida na unasema huna changamoto ya kiafya alafu kilo zishuke hivyo?Nimetoka bathroom kucheki sasa hivi inasoma 49 kawaida nakuaga 64(Mie mrefu)
Mkuu umesahsu KUSEMA na BIA mbili 😅😅😊😊Fanya diet ya kitimoto wiki mbili Tu na tako litafumuka.
By the way viazi ulaya na nyama ni nzuri Sana ukipika pamoja na mboga za Majani pembeni.
Ni kweli dear.Bongo peke yake unene ndio deal 😁
Sina deni lolote na huko kubet ndo hata sijui wanafanyaje mkuuUna deni lisilo himilivu?
Unabeti? Maana haya mambo kama unaingia kichwa kichwa huwa inakausha kabisa hadi nguvu za kujamiiana, hamu ya kula, usingizi mpaka simu yako unaiogopa.
Kamari na madeni ni hatari sana kwa afya, unakonda mpaka kichwaUna deni lisilo himilivu?
Unabeti? Maana haya mambo kama unaingia kichwa kichwa huwa inakausha kabisa hadi nguvu za kujamiiana, hamu ya kula, usingizi mpaka simu yako unaiogopa.
Mnasingizia mapenzi bure sema ujinga wenu....sii umeona hapo jamaa kamwambia queen amwbie bby wake amwagie ndaniMapenzi yana tabia ya kumfanya mtu awe skeleton ukikaa kizembe
Body Mass indexUmekonda?
Body weight yako imetoka ngapi mpaka ngapi?
Sina mkopo wala deni llolote mkuuHakikisha kama una mkopo kausha damu umemaliza marejesho vinginevyo kunenepa sahau