Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌Kingine we Kama ni mkazi wa daslam epuka kula matembele na matumbo mabichwa na magulu za kuku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌Kingine we Kama ni mkazi wa daslam epuka kula matembele na matumbo mabichwa na magulu za kuku
Kumbe mapenzi bado yapo? basi Mimi nikajuwa dunia imeshahamia kwingine.Mapenzi yana tabia ya kumfanya mtu awe skeleton ukikaa kizembe
Pole sana mkuu anza dozi ya mtori nyama na chapati kila siku usiponenepa ndani ya mwezi ujue kuna shida mahali.Sina mkopo wala deni llolote mkuu
Nakula kidogo sana no appetite.Iko shida mahali sio bure yani unakula vizuri, mawazo ya kawaida na unasema huna changamoto ya kiafya alafu kilo zishuke hivyo?
Hapa ni kipi ulichokiandika ambacho kinanenepesha?Watu wanatoa ushauri wa kipumbavu ambao hawajaombwa. Yeye kaomba namna ya kunenepa. Wapuuzi wanamwambia acalculate body index au wanataka kujua body index. Hayo hajawaambia. Mnachemka sana kuelezea kitu ambacho hajaomba. Kaomba jambo jingine mnaleta ujuaji wa kishamba. YEYE ANATAKA KUNENEPA. PERIOD.
No appetite why? Shida inaeza kuwa hapaNakula kidogo sana no appetite.
Sometimes nisipojilazimisha naweza kushindia juice na matunda tu
Sawa nitajaribu.Fanya diet ya kitimoto wiki mbili Tu na tako litafumuka.
By the way viazi ulaya na nyama ni nzuri Sana ukipika pamoja na mboga za Majani pembeni.
Kumbe unafanya diet kama Mange, halafu unataka ufutuke kama Irene Uwoya au Kajala!!Nakula kidogo sana no appetite.
Sometimes nisipojilazimisha naweza kushindia juice na matunda tu
Ah jf weeHapa ni kipi ulichokiandika ambacho kinanenepesha?
Thanks mkuu🙏Pole sana mkuu
Anasema hana appetiteKumbe unafanya diet kama Mange, halafu unataka ufutuke kama Irene Uwoya au Kajala!!
Unamsumbuwa Mahakama Tu, unazinguwa.
😂 yani hela kila mahali ina nafasi yake, aliegunduaga hela bora wangemuuaga mapemapia hakikisha hela unayo maana kama huna hata ukinywa mafuta kila siku hutonenepa ng'o
Kitimoto sawa ila bia siwezi mkuu.🙏Kula nguruwe na bia kwa kasi
Hata rais wao ni mnene 😁Bongo peke yake unene ndio deal 😁
We jichanganye ujute 😂Hata rais wao ni mnene 😁
Nitajitahidi mkuuKula hovyo hovyo tuu mkuu uta nenepa hasa wanga na mafut
Unakula kila kitu?Ni kweli dear.
Napenda kuwa na nyama nyama.
Nipe ushauri basi nile nini hiputhi zirudi😁