Nimekonda sana, naomba ushauri nifanyaje nirudishe kilo zangu haraka

Nimekonda sana, naomba ushauri nifanyaje nirudishe kilo zangu haraka

Pole
Una appetite?
Saga lishe kama ya mtoto Ile weka ulezi,korosho,mahindi, lozi na iliki
Uwe unapika uji unakunywa uweke na siagi na maziwa

Utengeneze smoothie zenye maziwa na matunda tofauti ila ndizi mbivu isikose
Kula sana ila zingatia balance diet maana unaweza ukafumuka vibaya sana

Ila pia hakikisha hela unayo maana kama huna hata ukinywa mafuta kila siku hutonenepa ng'o
 
Watu wanatoa ushauri wa kipumbavu ambao hawajaombwa. Yeye kaomba namna ya kunenepa. Wapuuzi wanamwambia acalculate body index au wanataka kujua body index. Hayo hajawaambia. Mnachemka sana kuelezea kitu ambacho hajaomba. Kaomba jambo jingine mnaleta ujuaji wa kishamba. YEYE ANATAKA KUNENEPA. PERIOD.
 
Watu wanatoa ushauri wa kipumbavu ambao hawajaombwa. Yeye kaomba namna ya kunenepa. Wapuuzi wanamwambia acalculate body index au wanataka kujua body index. Hayo hajawaambia. Mnachemka sana kuelezea kitu ambacho hajaomba. Kaomba jambo jingine mnaleta ujuaji wa kishamba. YEYE ANATAKA KUNENEPA. PERIOD.
 
Watu wanatoa ushauri wa kipumbavu ambao hawajaombwa. Yeye kaomba namna ya kunenepa. Wapuuzi wanamwambia acalculate body index au wanataka kujua body index. Hayo hajawaambia. Mnachemka sana kuelezea kitu ambacho hajaomba. Kaomba jambo jingine mnaleta ujuaji wa kishamba. YEYE ANATAKA KUNENEPA. PERIOD.
Hapa ni kipi ulichokiandika ambacho kinanenepesha?
 
Back
Top Bottom