Nimekonda sana, naomba ushauri nifanyaje nirudishe kilo zangu haraka

Nimekonda sana, naomba ushauri nifanyaje nirudishe kilo zangu haraka

Happy new year beautiful people.

Dear nutritionists mlioko JF naomba mnishauri diet itakayonisaidia kurudisha kilo zangu zilizopotea.

Nimekonda hadi nahisi watu wanahisi nina umeme(God forbid).

NB: Siumwi chochote na kila miezi 6/mwaka huwa nafanya general health check up ikijumlisha ini, figo, moyo, kansa ya mlango wa kizazi na matiti.(Ni kautamduni tu nimejiwekea)

Natanguliza shukrani
Mayai 2 daily asubuhi
Main robo
Kitimoto
Na wali ukila hivyo vitu utaona maajabu yake
 
Watu wanatoa ushauri wa kipumbavu ambao hawajaombwa. Yeye kaomba namna ya kunenepa. Wapuuzi wanamwambia acalculate body index au wanataka kujua body index. Hayo hajawaambia. Mnachemka sana kuelezea kitu ambacho hajaomba. Kaomba jambo jingine mnaleta ujuaji wa kishamba. YEYE ANATAKA KUNENEPA. PERIOD.
Wewe bwana mdogo mbona munkari upo juu sana. Sasa utaweza vipi kugundua mtu kanenepa au hali yake ya lishe ilivyo bila kufahamu body mass index yake ? Yani unataka watu washauri kitu wasichokuwa na uhakika nacho, hali ya lishe ya mtu inapimwa kukingana na urefu na uzito wake. Kuwa mpole
 
Back
Top Bottom