Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Fuatilia ujue tatzo nn au una minyoo?Sijui mkuu.
Anza na dozi ya minyoo then endelea na kula
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fuatilia ujue tatzo nn au una minyoo?Sijui mkuu.
Sili kila kitu ila karibia vyakula vyote vya kitanzania nakula.Unakula kila kitu?
Maana mfanowe mimi sipendi nyama ya ng’ombe. So nikikosa protein ya nyama, nakaza ninywe maziwa & yoghurt.
Kama pia appetite hamna tafuta kwanza multi vitamins uirejeshe.
49 😂😂😂164 height
49 weight
Yaani nimekua model asiye na vigezo😁.Hatari, Kwa urefu huo na hizo kilo ni mwembamba sana. Umecheck sukari? Huwa inakondesha sana.
Sawa mkuuKitimoto kitimoto utafumuka mpaka nyuma huko
Mpaji ni Mungu tuombeane🙏Okay make sure account inasoma 7 digit na kuendelea...
Mpaji Mungu unaitwa hukuMpaji ni Mungu tuombeane🙏
Thanks kipenzi🙏Pole sana
Umenena vyema🙏Utakula vyooote lakini Kama unaendekeza roho mbaya wivu na chuki huwez kunenepa
Now this is the Home of Great Thinkers I know 😁😁😁Mwambie amwagie ndani
Kuridhika na Kila kitu , chukulia Kila kitu it's ok , mapenzi, kipato , familia Kila jambo lolote chukulia positive.Thanks kipenzi🙏
Mayai 2 daily asubuhiHappy new year beautiful people.
Dear nutritionists mlioko JF naomba mnishauri diet itakayonisaidia kurudisha kilo zangu zilizopotea.
Nimekonda hadi nahisi watu wanahisi nina umeme(God forbid).
NB: Siumwi chochote na kila miezi 6/mwaka huwa nafanya general health check up ikijumlisha ini, figo, moyo, kansa ya mlango wa kizazi na matiti.(Ni kautamduni tu nimejiwekea)
Natanguliza shukrani
Wewe bwana mdogo mbona munkari upo juu sana. Sasa utaweza vipi kugundua mtu kanenepa au hali yake ya lishe ilivyo bila kufahamu body mass index yake ? Yani unataka watu washauri kitu wasichokuwa na uhakika nacho, hali ya lishe ya mtu inapimwa kukingana na urefu na uzito wake. Kuwa mpoleWatu wanatoa ushauri wa kipumbavu ambao hawajaombwa. Yeye kaomba namna ya kunenepa. Wapuuzi wanamwambia acalculate body index au wanataka kujua body index. Hayo hajawaambia. Mnachemka sana kuelezea kitu ambacho hajaomba. Kaomba jambo jingine mnaleta ujuaji wa kishamba. YEYE ANATAKA KUNENEPA. PERIOD.
Nitafata hii diet mkuu.Mayai 2 daily asubuhi
Main robo
Kitimoto
Na wali ukila hivyo vitu utaona maajabu yake
Pole. Hii ndiyo Jeiefu mkuu 😁😁😁Asanteni nyote kwa michango yenu.Mlotoa ushauri nitazingatia.
Kuna waloniambia bila maokoto siwezi kunenepa hata nile nini hivyo naomba ni log off nikatafute maokoto.
Niwatakie siku njema wakuu.
[emoji23][emoji23][emoji23]Mapenzi yana tabia ya kumfanya mtu awe skeleton ukikaa kizembe