Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
AtakujibuAsiteseke!
Aseme anataka awe na kg ngp ndani ya mda gani?
NB: Ana pesa ngapi?
Zingatia!
Nijaribuni kwa matoleo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AtakujibuAsiteseke!
Aseme anataka awe na kg ngp ndani ya mda gani?
NB: Ana pesa ngapi?
Zingatia!
Nijaribuni kwa matoleo
Sawa mkuuChibonge + tipwatipwa = mnene.
Hesabu zipo sawa 😂😂
Mwambie amwagie ndani
Hii check hapo vipimo vyote ni bei ganiHappy new year beautiful people.
Dear nutritionists mlioko JF naomba mnishauri diet itakayonisaidia kurudisha kilo zangu zilizopotea.
Nimekonda hadi nahisi watu wanahisi nina umeme(God forbid).
NB: Siumwi chochote na kila miezi 6/mwaka huwa nafanya general health check up ikijumlisha ini, figo, moyo, kansa ya mlango wa kizazi na matiti.(Ni kautamduni tu nimejiwekea)
Natanguliza shukrani
Tuko wa kila aina na wote tunafanana na Mungu eti 😁Pole. Hii ndiyo Jeiefu mkuu 😁😁😁
🙏🙏Kama huna appetite Kuna syrup na vidonge sikumbuki Jina vizuri nadhani ni apetamin
Vinaleta appetite
Asante kwa ushauri mkuu🙏kunywa juisi ya ndizi iliyochanganya na maziwa korosho na karanga kila siku glasi moja kwa muda wa wiki mbili . itarudisha kilo zako zilizopotea
Situmii mkuuHuenda Unakula Vizuri Maybe Unatumia Kijiti Kama Njia Ya Uzazi Wa Mpango
Hongereni kwa kukubali matokeo mkuuHaya maisha kila mtu anahangika na yake. Binafsi sijawahi kunenepa, maisha yangu yote ni mwembamba tu mpaka nishajikatia tamaa.
Ila kipindi nasononeka kwanini sinenepi walau kidogo kama wenzang, kuna jamaa angu wa karibu sana yeye alikuwa ana struggle kupungua. Jamaa alikuwa na uzito zaid ya 100kg. Kapambana sana na madawa, diet, mitishamba, kaharisha sana, tumekunywa sana visungura kumsaidia kuchoma mafuta lakini wapi... ndio kwanza kapungua kilo 5.
Sasahivi tumeamua liwalo na liwe!!
Kabisa.Hakuna kitu kinakondesha kama stress... Nilipukukutika ndani ya mwezi mmoja mpaka nikajishangaa... stress mbaya sana hata ule nini
Dawa ni kuungana na mwenezi wa chama chetu tuNB: Siumwi chochote na kila miezi 6/mwaka huwa nafanya general health check up ikijumlisha ini, figo, moyo, kansa ya mlango wa kizazi na matiti.(Ni kautamduni tu nimejiwekea)
Natanguliza shukrani
Upande wa hela siko vizuri kabisa mkuu.NB: Ana pesa ngapi?
Na ninavyokipenda sasa na chai.Kula viporo vya wali na maharage
Nipo home this holiday , bi mkubwa kidogo Ako na sensi of huma .. Nimefika 23rd last year Dec , nilibaki kongoro/tuu .. baada ya mapocho pocho ya Mama mzazi na kupata wasaa wa kupumzika .. juzi kanichokonoa kanambia mapenzi yatakuua mbwa wewe Mimi ni mzazi najua... Ona umeanza kunawiriMapenzi yana tabia ya kumfanya mtu awe skeleton ukikaa kizembe
Nitajitahidi mkuu.Basi umeshajua undani wa tatizo lako ni kukosa hamu ya kula... jitahidi ule vizuri na upunguze mawazo.
Binafsi huwa napungua kila ninapokuwa na changamoto za upungufu wa fedha...
Na ukiona nimepatapata kamwili basi ukichungulia akaunti yangu lazima unakuta ina vimilioni milioni ....na kinyume chake huwa hivyo
🙏Pole,zingatia ushauri wa wadau hapo juu
SawaDawa ni kuungana na mwenezi wa chama chetu tu
Gharama zinategemea na unapotibiwa mkuuHii check hapo vipimo vyote ni bei gani