Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iseme sabab ya kukonda kwanza ndio tujue tunatatua tatzo kwa njia ganHappy new year beautiful people.
Dear nutritionists mlioko JF naomba mnishauri diet itakayonisaidia kurudisha kilo zangu zilizopotea.
Nimekonda hadi nahisi watu wanahisi nina umeme(God forbid).
NB: Siumwi chochote na kila miezi 6/mwaka huwa nafanya general health check up ikijumlisha ini, figo, moyo, kansa ya mlango wa kizazi na matiti.(Ni kautamduni tu nimejiwekea)
Natanguliza shukrani
Kama huna appetite Kuna syrup na vidonge sikumbuki Jina vizuri nadhani ni apetaminFinallly numepata ushauri.
Appetite sina ila vimiminuka vinapita labda hiyo lishe itapita pia.
Barikiwa kipenzi nitazingatia.
Happy new year SisMapenzi yana tabia ya kumfanya mtu awe skeleton ukikaa kizembe
Inawezekana Huyu ndiye SUPIKA mwenyewe ana mawazo atamshinda vipi sugu uchaguzi wa mwakaniWe ni Tulia Akson?
Chukua huu ushauri.Mwambie amwagie ndani
📌📌Asanteni nyote kwa michango yenu.Mlotoa ushauri nitazingatia.
Kuna waloniambia bila maokoto siwezi kunenepa hata nile nini hivyo naomba ni log off nikatafute maokoto.
Niwatakie siku njema wakuu.
Chibonge + tipwatipwa = mnene.We jifariji tu kwahiyo yule mh ni mnene au tipwatipwa, chibonge? Au yote ni sawa
Thanks dear wangu, heri ya mwaka mwaka mpya na kwako pia....Happy new year Sis
Thank you sweetheart ❤️Thanks dear wangu, heri ya mwaka mwaka mpya na kwako pia....
Asiteseke!Mpaji Mungu unaitwa huku
Basi umeshajua undani wa tatizo lako ni kukosa hamu ya kula... jitahidi ule vizuri na upunguze mawazo.Yes tatizo nakula kidogo sana no appetite.
Muda wa kulala na kupumzuka ninao wa kutosha.
Stress za kawaida za kutafuta hela
Ubooh...Hapa ni kipi ulichokiandika ambacho kinanenepesha?
ndani ya muda ganiMayai 2 daily asubuhi
Main robo
Kitimoto
Na wali ukila hivyo vitu utaona maajabu yake