Nimekonda sana, naomba ushauri nifanyaje nirudishe kilo zangu haraka

Nimekonda sana, naomba ushauri nifanyaje nirudishe kilo zangu haraka

Ni kweli na 50 bado sana ila nimepungua sana mkuu.

Nikiwa na kg 64 nakuwa si mnene wala mwembamba na kikubwa huwa napenda muonekano wangu ninapokia na kg hizo.
 
Happy new year beautiful people.

Dear nutritionists mlioko JF naomba mnishauri diet itakayonisaidia kurudisha kilo zangu zilizopotea.

Nimekonda hadi nahisi watu wanahisi nina umeme(God forbid).

NB: Siumwi chochote na kila miezi 6/mwaka huwa nafanya general health check up ikijumlisha ini, figo, moyo, kansa ya mlango wa kizazi na matiti.(Ni kautamduni tu nimejiwekea)

Natanguliza shukrani
Acha kumsikiliza Prof Janabi.
 
nilikua kama wewe mwaka juzi nikaanza kufakamia msosi chakushangaza nikaongezeka mashavu na kitambi tu mwili uko vilevile saiv nasikia tetesi mtaani eti natumia pombe za kienyeji
Duuh😁
Pole sana ndugu yangu
 
Happy new year beautiful people.

Dear nutritionists mlioko JF naomba mnishauri diet itakayonisaidia kurudisha kilo zangu zilizopotea.

Nimekonda hadi nahisi watu wanahisi nina umeme(God forbid).

NB: Siumwi chochote na kila miezi 6/mwaka huwa nafanya general health check up ikijumlisha ini, figo, moyo, kansa ya mlango wa kizazi na matiti.(Ni kautamduni tu nimejiwekea)

Natanguliza shukrani
Je umefanya checkup ya cancer yatigo?
 
Happy new year beautiful people.

Dear nutritionists mlioko JF naomba mnishauri diet itakayonisaidia kurudisha kilo zangu zilizopotea.

Nimekonda hadi nahisi watu wanahisi nina umeme(God forbid).

NB: Siumwi chochote na kila miezi 6/mwaka huwa nafanya general health check up ikijumlisha ini, figo, moyo, kansa ya mlango wa kizazi na matiti.(Ni kautamduni tu nimejiwekea)

Natanguliza shukrani
+255 69 968 0873 mpigie huyu anasuppliment za weight gain
 
Una kimo gani yaani urefu wako?

Kwasasa una kilo ngapi na ulikuwa na kilo ngapi?
 
Back
Top Bottom