Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kumsikiliza Prof Janabi.Happy new year beautiful people.
Dear nutritionists mlioko JF naomba mnishauri diet itakayonisaidia kurudisha kilo zangu zilizopotea.
Nimekonda hadi nahisi watu wanahisi nina umeme(God forbid).
NB: Siumwi chochote na kila miezi 6/mwaka huwa nafanya general health check up ikijumlisha ini, figo, moyo, kansa ya mlango wa kizazi na matiti.(Ni kautamduni tu nimejiwekea)
Natanguliza shukrani
Duuh😁nilikua kama wewe mwaka juzi nikaanza kufakamia msosi chakushangaza nikaongezeka mashavu na kitambi tu mwili uko vilevile saiv nasikia tetesi mtaani eti natumia pombe za kienyeji
SawaAcha kumsikiliza Prof Janabi.
Nitafute nikupe tiba.Nina mawazo ya kawaida kama mtu mzima
Weka hapa itasaidia wengi mkuuNitafute nikupe tiba.
Huna shida mkuu ...Weka hapa itasaidia wengi mkuu
SawaHuna shida mkuu ...
🙏Msikilize dokta Janabi
Je umefanya checkup ya cancer yatigo?Happy new year beautiful people.
Dear nutritionists mlioko JF naomba mnishauri diet itakayonisaidia kurudisha kilo zangu zilizopotea.
Nimekonda hadi nahisi watu wanahisi nina umeme(God forbid).
NB: Siumwi chochote na kila miezi 6/mwaka huwa nafanya general health check up ikijumlisha ini, figo, moyo, kansa ya mlango wa kizazi na matiti.(Ni kautamduni tu nimejiwekea)
Natanguliza shukrani
+255 69 968 0873 mpigie huyu anasuppliment za weight gainHappy new year beautiful people.
Dear nutritionists mlioko JF naomba mnishauri diet itakayonisaidia kurudisha kilo zangu zilizopotea.
Nimekonda hadi nahisi watu wanahisi nina umeme(God forbid).
NB: Siumwi chochote na kila miezi 6/mwaka huwa nafanya general health check up ikijumlisha ini, figo, moyo, kansa ya mlango wa kizazi na matiti.(Ni kautamduni tu nimejiwekea)
Natanguliza shukrani
🙏🙏+255 69 968 0873 mpigie huyu anasuppliment za weight gain
Sio lazima uwe nazo nyingi ila ukiwa nazo tu itakuepusha na changamoto mbali mbali ktk maisha mfanoUpande wa hela siko vizuri kabisa mkuu.
Sorry to me nakosa msaada wako
Njoo pm tuyajengeNi kweli dear.
Napenda kuwa na nyama nyama.
Nipe ushauri basi nile nini hiputhi zirudi[emoji16]
Kapime maradhi ya tumbo kwanzaNakula kidogo sana no appetite.
Sometimes nisipojilazimisha naweza kushindia juice na matunda tu
Mmmmmmhmn hapa kweli umeshuka kilo, yaani una kilo chache kushinda mfuko wa cement.164 height
49 weight