Nimekonda sana, naomba ushauri nifanyaje nirudishe kilo zangu haraka

Nimekonda sana, naomba ushauri nifanyaje nirudishe kilo zangu haraka

Weka stress pembeni kulala
Mi sahivi namshukuru Mungu,nilipitiwa kipindi km hiki, though mi sbb kubwa ilikuwa ni fasting ya muda mrefu na mara Kwa mara!

Ila sshv namshukuru Mungu Kwakweli
Hongera kwa mfungo dear.
Ila kupungua ya mfungo ukimaliza na mwili unarudi automatically
 
Pole sana.
Ushauri achana na vikoba na mikopo ya kausha damu Kama uno humo

Pia Kama we ni kamwanamke kalevi punguza pombe au kula sana kabla ya kubugia kamunyweso.

Kingine we Kama ni mkazi wa daslam epuka kula matembele na matumbo mabichwa na magulu za kuku. Jitaidi ukule samaki wa mwanza Kama sato na kamongo yasinda nyama ndani ya mwezi tu utajua mnene Kama msechu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom