Nimekonda sana, naomba ushauri nifanyaje nirudishe kilo zangu haraka

Nimekonda sana, naomba ushauri nifanyaje nirudishe kilo zangu haraka

Jana nimempa mtu hizo ingridients zako na yeye akaniongezea na mchele na mbegu za maboga kanitengenezea unga mzuri.

Jana jioni nimeupika nikaweka na maziwa fresh na ya unga kuongeza ladha yaani ni mtamu hatari 😁 halafu unanunikia vizuri sana.
Leo nishakunywa vikombe viwili na pia nahisi unaleta hamu ya kula coz leo najihisi njaa njaa tu.
Safi sana mwanzo mzuri huo
Huo uji ni mzuri mno yaani utakunywa na utagain weight vizuri tu
Wakati mwingine tupiamo peanut butter
 
Pole
Una appetite?
Saga lishe kama ya mtoto Ile weka ulezi,korosho,mahindi, lozi na iliki
Uwe unapika uji unakunywa uweke na siagi na maziwa

Utengeneze smoothie zenye maziwa na matunda tofauti ila ndizi mbivu isikose
Kula sana ila zingatia balance diet maana unaweza ukafumuka vibaya sana

Ila pia hakikisha hela unayo maana kama huna hata ukinywa mafuta kila siku hutonenepa ng'o
Dear Missy Gf nime log in kwa lengo moja tu la kukupa asante.

Uji wako umenisaidia kipenzi.
Nimeongezeka hadi nimepitiliza kidogo😃 ila najipenda hata nguo sasa zinakaa na ngozi imenawiri kama nimetoka uzazi🤣🤣.Ingekua sio kuogopa kuambiwa lipia tangazo ningekurushia kapicha ujionee🤣😃.

Anywayz.
Naomba niwe sponsor wa bando lako la hii week end kama njia yangu ya kusema asante.Hata kama kwa week end unatumia bando la 1M🤣 we sema coz umenisaidia sana.
Ukiniruhusu nitatuma vocha za kukwangua so usiwaze🙏🙏
 
Mshukuru Mungu unene ni kero,mimi Nina kilo nyingi zinatesa sana
 
Dear Missy Gf nime log in kwa lengo moja tu la kukupa asante.

Uji wako umenisaidia kipenzi.
Nimeongezeka hadi nimepitiliza kidogo😃 ila najipenda hata nguo sasa zinakaa na ngozi imenawiri kama nimetoka uzazi🤣🤣.Ingekua sio kuogopa kuambiwa lipia tangazo ningekurushia kapicha ujionee🤣😃.

Anywayz.
Naomba niwe sponsor wa bando lako la hii week end kama njia yangu ya kusema asante.Hata kama kwa week end unatumia bando la 1M🤣 we sema coz umenisaidia sana.
Ukiniruhusu nitatuma vocha za kukwangua so usiwaze🙏🙏
Waoh nashukuru kupata positive feedback kipenzi natumai sahivi unafurahia body kinanda uliyoipata
Halafu vocha ninazo
Jamani labda zawadi nyingine 😇😇
 
NB: Siumwi chochote na kila miezi 6/mwaka huwa nafanya general health check up ikijumlisha ini, figo, moyo, kansa ya mlango wa kizazi na matiti.(Ni kautamduni tu nimejiwekea)

Natanguliza shukrani

Mkuu hii Check up huwa unafanyia kwenye Hospitali gani? Na gharama zake zikoje?
 
Happy new year beautiful people.

Dear nutritionists mlioko JF naomba mnishauri diet itakayonisaidia kurudisha kilo zangu zilizopotea.

Nimekonda hadi nahisi watu wanahisi nina umeme(God forbid).

NB: Siumwi chochote na kila miezi 6/mwaka huwa nafanya general health check up ikijumlisha ini, figo, moyo, kansa ya mlango wa kizazi na matiti.(Ni kautamduni tu nimejiwekea)

Natanguliza shukrani
Kumbe kilo zilkuwepo lakini zikapotea?

Diet yako ni ile ile?

If so, ebu itaje kwanza hiyo diet…

Kisha na ratiba yako ya kula weka hapa.
 
Kumbe kilo zilkuwepo lakini zikapotea?

Diet yako ni ile ile?

If so, ebu itaje kwanza hiyo diet…

Kisha na ratiba yako ya kula weka hapa.
Asante kwa kujali mkuu🙏 ila nishaongezeka.
 
Mkuu hii Check up huwa unafanyia kwenye Hospitali gani? Na gharama zake zikoje?
Kansa ya Shingo ya mlango wa uzazi ni bure kupimwa.

HIV ni bure.

MOYO
ECG ni 30- 36k

ECHO ni 140k and above.

FIGO
Kuna ultra sound na vingine ila ultra sound ni kuanzia 15k.
INI
inategemea dokta atashauri kipimo gani.

KANSA YA MAZIWA
Sijawahi kuchekiwa TZ. so sijui gharama zake ila najua ni hospital chache zenye hicho kipimo.

Napimiaga Regency na hospital fulani ya Mission ya wazungu wakatoliki.
 
Waoh nashukuru kupata positive feedback kipenzi natumai sahivi unafurahia body kinanda uliyoipata
Halafu vocha ninazo
Jamani labda zawadi nyingine 😇😇
Yes naifurahia body ya afrikan woman😁.

Sasa hapo kwenye zawadi nyingine ngojea nione jinsi yakufanya pasi ya mambo kuwa mengi.

Once again.
Thank you🙏🙏
 
Yes naifurahia body ya afrikan woman😁.

Sasa hapo kwenye zawadi nyingine ngojea nione jinsi yakufanya pasi ya mambo kuwa mengi.

Once again.
Thank you🙏🙏
Thanks madam 🥰🥰
 
Mkuu tutoe ushamba kidogo cheese ndio kitu gani?
Kula unachojisikia, achana na ratiba ya wali nyama etc.

Kunywa maziwa kila asubuhi nusu lita

Baada ya chakula tafuna cheese (tafuta cheddar cheese), itasaidia kujaza tumbo. Vumilia ladha.

Nilifanya haya kuongeza uzito
 
Happy new year beautiful people.

Dear nutritionists mlioko JF naomba mnishauri diet itakayonisaidia kurudisha kilo zangu zilizopotea.

Nimekonda hadi nahisi watu wanahisi nina umeme(God forbid).

NB: Siumwi chochote na kila miezi 6/mwaka huwa nafanya general health check up ikijumlisha ini, figo, moyo, kansa ya mlango wa kizazi na matiti.(Ni kautamduni tu nimejiwekea)

Natanguliza shukrani
Ulifuata ushauri wa Pro. Janabi nini?
 
Happy new year beautiful people.

Dear nutritionists mlioko JF naomba mnishauri diet itakayonisaidia kurudisha kilo zangu zilizopotea.

Nimekonda hadi nahisi watu wanahisi nina umeme(God forbid).

NB: Siumwi chochote na kila miezi 6/mwaka huwa nafanya general health check up ikijumlisha ini, figo, moyo, kansa ya mlango wa kizazi na matiti.(Ni kautamduni tu nimejiwekea)

Natanguliza shukrani
punguza wivu, maana wivu hukondesha kuliko kukosa chakula
 
Back
Top Bottom