Nimekonda sana, naomba ushauri nifanyaje nirudishe kilo zangu haraka

Nimekonda sana, naomba ushauri nifanyaje nirudishe kilo zangu haraka

Kula unachojisikia, achana na ratiba ya wali nyama etc.

Kunywa maziwa kila asubuhi nusu lita

Baada ya chakula tafuna cheese (tafuta cheddar cheese), itasaidia kujaza tumbo. Vumilia ladha.

Nilifanya haya kuongeza uzito
 
Happy new year beautiful people.

Dear nutritionists mlioko JF naomba mnishauri diet itakayonisaidia kurudisha kilo zangu zilizopotea.

Nimekonda hadi nahisi watu wanahisi nina umeme(God forbid).

NB: Siumwi chochote na kila miezi 6/mwaka huwa nafanya general health check up ikijumlisha ini, figo, moyo, kansa ya mlango wa kizazi na matiti.(Ni kautamduni tu nimejiwekea)

Natanguliza shukrani

queenkami haya magonjwa hapa mbona yanawezekana kukuletea uzito kupungua, Je umeshayapatia matibabu-ukapona?
 
Kula unachojisikia, achana na ratiba ya wali nyama etc.

Kunywa maziwa kila asubuhi nusu lita

Baada ya chakula tafuna cheese (tafuta cheddar cheese), itasaidia kujaza tumbo. Vumilia ladha.

Nilifanya haya kuongeza uzito
Asante kwa ushauri mkuu.
Nitazingatia na cheddar cheese mimi naipenda.

Uliongezeka kg ngapi mkuu baada ya muda gani?
Barikiwa sana.
 
Muulize yule Prof anayetaka wote tukonde kama wanywa gongo.
 

queenkami haya magonjwa hapa mbona yanawezekana kukuletea uzito kupungua, Je umeshayapatia matibabu-ukapon
Hayo magonjwa yote yamepona mkuu kasoro ACID REFLUX,huo ninao toka niko mtoto,hauna tiba so far. Haujawahi kunikondesha.
 
Kwa kimo hicho (164) ongeza, kilo 2 tu unakuwa kwenye normal bmi ya 19.

Zingatia tu lishe, fasta sana.
 
Back
Top Bottom