Safi sana mwanzo mzuri huoJana nimempa mtu hizo ingridients zako na yeye akaniongezea na mchele na mbegu za maboga kanitengenezea unga mzuri.
Jana jioni nimeupika nikaweka na maziwa fresh na ya unga kuongeza ladha yaani ni mtamu hatari ๐ halafu unanunikia vizuri sana.
Leo nishakunywa vikombe viwili na pia nahisi unaleta hamu ya kula coz leo najihisi njaa njaa tu.
Dear Missy Gf nime log in kwa lengo moja tu la kukupa asante.Pole
Una appetite?
Saga lishe kama ya mtoto Ile weka ulezi,korosho,mahindi, lozi na iliki
Uwe unapika uji unakunywa uweke na siagi na maziwa
Utengeneze smoothie zenye maziwa na matunda tofauti ila ndizi mbivu isikose
Kula sana ila zingatia balance diet maana unaweza ukafumuka vibaya sana
Ila pia hakikisha hela unayo maana kama huna hata ukinywa mafuta kila siku hutonenepa ng'o
Waoh nashukuru kupata positive feedback kipenzi natumai sahivi unafurahia body kinanda uliyoipataDear Missy Gf nime log in kwa lengo moja tu la kukupa asante.
Uji wako umenisaidia kipenzi.
Nimeongezeka hadi nimepitiliza kidogo๐ ila najipenda hata nguo sasa zinakaa na ngozi imenawiri kama nimetoka uzazi๐คฃ๐คฃ.Ingekua sio kuogopa kuambiwa lipia tangazo ningekurushia kapicha ujionee๐คฃ๐.
Anywayz.
Naomba niwe sponsor wa bando lako la hii week end kama njia yangu ya kusema asante.Hata kama kwa week end unatumia bando la 1M๐คฃ we sema coz umenisaidia sana.
Ukiniruhusu nitatuma vocha za kukwangua so usiwaze๐๐
NB: Siumwi chochote na kila miezi 6/mwaka huwa nafanya general health check up ikijumlisha ini, figo, moyo, kansa ya mlango wa kizazi na matiti.(Ni kautamduni tu nimejiwekea)
Natanguliza shukrani
Kumbe kilo zilkuwepo lakini zikapotea?Happy new year beautiful people.
Dear nutritionists mlioko JF naomba mnishauri diet itakayonisaidia kurudisha kilo zangu zilizopotea.
Nimekonda hadi nahisi watu wanahisi nina umeme(God forbid).
NB: Siumwi chochote na kila miezi 6/mwaka huwa nafanya general health check up ikijumlisha ini, figo, moyo, kansa ya mlango wa kizazi na matiti.(Ni kautamduni tu nimejiwekea)
Natanguliza shukrani
Asante kwa kujali mkuu ila nishaongezeka na nina furaha na kujifurahia๐.Kwanza kuwa na furaha,weka ratiba yakula na kulala vizuriiii
Asante kwa kujali mkuu๐ ila nishaongezeka.Kumbe kilo zilkuwepo lakini zikapotea?
Diet yako ni ile ile?
If so, ebu itaje kwanza hiyo dietโฆ
Kisha na ratiba yako ya kula weka hapa.
Kansa ya Shingo ya mlango wa uzazi ni bure kupimwa.Mkuu hii Check up huwa unafanyia kwenye Hospitali gani? Na gharama zake zikoje?
Yes naifurahia body ya afrikan woman๐.Waoh nashukuru kupata positive feedback kipenzi natumai sahivi unafurahia body kinanda uliyoipata
Halafu vocha ninazo
Jamani labda zawadi nyingine ๐๐
Thanks madam ๐ฅฐ๐ฅฐYes naifurahia body ya afrikan woman๐.
Sasa hapo kwenye zawadi nyingine ngojea nione jinsi yakufanya pasi ya mambo kuwa mengi.
Once again.
Thank you๐๐
Kula unachojisikia, achana na ratiba ya wali nyama etc.
Kunywa maziwa kila asubuhi nusu lita
Baada ya chakula tafuna cheese (tafuta cheddar cheese), itasaidia kujaza tumbo. Vumilia ladha.
Nilifanya haya kuongeza uzito
Ulifuata ushauri wa Pro. Janabi nini?Happy new year beautiful people.
Dear nutritionists mlioko JF naomba mnishauri diet itakayonisaidia kurudisha kilo zangu zilizopotea.
Nimekonda hadi nahisi watu wanahisi nina umeme(God forbid).
NB: Siumwi chochote na kila miezi 6/mwaka huwa nafanya general health check up ikijumlisha ini, figo, moyo, kansa ya mlango wa kizazi na matiti.(Ni kautamduni tu nimejiwekea)
Natanguliza shukrani
punguza wivu, maana wivu hukondesha kuliko kukosa chakulaHappy new year beautiful people.
Dear nutritionists mlioko JF naomba mnishauri diet itakayonisaidia kurudisha kilo zangu zilizopotea.
Nimekonda hadi nahisi watu wanahisi nina umeme(God forbid).
NB: Siumwi chochote na kila miezi 6/mwaka huwa nafanya general health check up ikijumlisha ini, figo, moyo, kansa ya mlango wa kizazi na matiti.(Ni kautamduni tu nimejiwekea)
Natanguliza shukrani