Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 9,266
- 7,426
👍Usikate tamaa wakati wa Mungu ukifika hakutakuwa na kipingamizi, Mungu akusaidie sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
👍Usikate tamaa wakati wa Mungu ukifika hakutakuwa na kipingamizi, Mungu akusaidie sana.
Hebu acheni kutishana na maneno ya kipuuzi watu wakaacha kujaribu bahati zao. Hata iweje ajira huwa hazitoshi.Daa pole sana siku hizi bila konekesheni hutoboi
Zamani mbona walikuwa wanazoa hadi 2.0 GPA, hawakufundisha?G.P.A 2.5 unaforce ufundishe secondary ?
upo sahihi mkuu👍🏽Miaka saba yupo mtaani it means kuna kitu alikuwa anafanya Ila anaona bado hakijamfaa ndo maana anatafuta ulinzi wa maisha kupitia kile alichokigharamikia kwa muda na kwa hela.
Kujiajiri kibongo bongo ni msamiati mmoja mgumu sana maana hata kama una wazo la biashara mtaji huna wa kukupa mtaji nae huna inabidi pia uwe na bahati upande huo bahati nayo unakuta mtu hana hii ndiyo maana tunaona vijana wakitapatapa kugombea hizi ajira japo malipo nayo ni kiduchu.
Mleta mada nikupe pole sana kwa hili.
We dada vipi umetoka kugombana na mumeo?Hebu acheni kutishana na maneno ya kipuuzi watu wakaacha kujaribu bahati zao. Hata iweje ajira huwa hazitoshi.
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Hizo kazi wanaona aibuPole sana mkuu embu anza kujiingiza kwenye magari nenda pale veta ya shinyanga kasomee mitambo Kwa mwaka mmoja mda mwingine inakubidi uumie ili mishe ziwe Sawa badilisha ujuzii itakusaidia sana
Ninashangaa waliomaliza 2021 wamechaguliwa.
Mfumo unatumika unatakiwa kabla majina hayajatangazwa yapitie TISS NA TAKUKURU wakishajiridhisha ndipo Majina ya tangazwe na yatangazwe na kupanga vitu. Vinginevyo tunapigwa
kisa kasoma ualimu na kukosa kazi ndio asubiri kufa, Mkuu kweli?Nimeshindwa kuandika tusi hapa ila tambua nimekupa tusi zito mno.
Afanye kazi gani na amesomea UALIMU??
Achana nao wahuni tu hawa wamevamia jamiiforumkisa kasoma ualimu na kukosa kazi ndio asubiri kufa. Mkuu kweli?
Naona siku tukionana utanifaa sana we binti unaonekana unanipenda kuongea unaogopa ila above thirty sitafuni mmAcha kuongea kama huna akili timamu
Maswala ya kufeli yanahusianaje
Upunguzage kiherehere kijana[emoji19]
Nitafunwe na mtu anaeshangaa mwanaume mwenzake akinunua pombe za 120K si ntakua nimechanganyikiwaNaona siku tukionana utanifaa sana we binti unaonekana unanipenda kuongea unaogopa ila above thirty sitafuni mm