Nimekosa cha kujifunza kutoka kwa marehemu Sam wa Ukweli

Nimekosa cha kujifunza kutoka kwa marehemu Sam wa Ukweli

Aisee kwa hiyo wasanii wote waliofanikiwa duniani hawana cha kukuinspire hadi awe marehemu Sam?

Wakati mwingine tujifunze kuacha marehemu wakajibu mbele ya Muumba kwa amani.
 
Mwachen marehemu Apumzike Salama ....maana naona mmeanza tabia zenu zakiwaki.....Marehemu atakumbukwa kwa kazi zake za muziki mzuri maana hata angekuwa namafanikio kias gani sisi ayatusaidii zaidi ya mziki wake.
 
Kuna wasanii wakiwa wanatumia pesa kwenye mambo ya kijinga utakuta wanakwambia sisi hatupendi kujionyesha, Mfano Kiba watu wengi wangependa kuona anamiliki nini kutokana na umaarufu wake ili wawe inspired lakini anaficha na huenda hana cha kuwaonesha.............

[emoji23][emoji23] kwa hiyo unasubiri uone anachomiliki Kiba ili uwe inspired?chapa kazi swahiba utimize hadi ndoto ambazo mwenyewe ulikua haufikiri kuziishi achana na hao wasanii ikiwezekana wao wakuangalie wewe.
 
Mjifunze kwa sisi madereva wa bajaji pia, au hamtaki kujua tunamiliki nini ?
 
Badala ya kumuombea marehemu apumzike salama; mnaanza kumjadili vitu gani kaacha marehemu; material things; hii ngozi nyeusi ina laana ya muumba sio bure. Rip Sam.
Miafrika ndivyo ilivyo in Nyani Ngabu tone.
 
Hata kukosa mali za kuonyesha napo kuna la kujifunza
 
[emoji23][emoji23] kwa hiyo unasubiri uone anachomiliki Kiba ili uwe inspired?chapa kazi swahiba utimize hadi ndoto ambazo mwenyewe ulikua haufikiri kuziishi achana na hao wasanii ikiwezekana wao wakuangalie wewe.
Muuulize baba Yke hana mafanikio yoyote ya Ku mu inspire mpaka Anataka watu wengine ndio wamuhamasishe "" so kama baba Yke hilo limemshinda "" vipi aone Ajabu kwa sam wa ukweli "...... pumbavu nasikitika kuona kwamba kuna watu wengine hata hawajui kuwa maisha hupanda na kushuka
 
Hata kitendo cha wewe kumjua Tu ni mafanikio, Sam alikua Muuza matunda ilala Sokoni, imagine alipigika kiasi gani mpaka Leo wewe unaejiita msomi WA Sheria kutaka kujua achievements zake! mjifunze kua watu wa kiasi..
Comment ina akili sana hii...."" wanawacheka wenzao Usikute hata baba zao wameshindwa kuwa na mafanikio yoyote ya kutuhamasisha ....kama Upendo huwa unaanzia nyumbani "" basi kujifunza kuhamasika na maisha kunapaswa kuanzia nyumbani pia....
 
Mtoa mada " kuna mambo mengi ya kujifunza kwa watu katika haya maisha tunayoishi " Ukiachana na Mali "" neno mafanikio ni msamiati unao beba dhana pana ""Dhana ambayo huwa inategemea na Kile alichokuwa anakilenga mtu husika .....KUNA WENGINE MAFANIKIO KWAO NIKUOA/KUOA ..KUVUNA MAZAO ". KUMALIZA MASOMO YA ELIMU YA JUU"".. KUWA NA HEKIMA/UTU KATIKA JAMII"" ....WAWEZA KUONA JINSI AMBAVYO CHE GUEVARA ALIVYOACHA NA FASI NYETI YA UONGOZI ALIYOPEWA NA FIDEL CASTRO ""KISHA AKAKIMBILIA AFRICA MASHARIKI KWAAJILI YA KUMSAIDIA LAURENT KABILA KATIKA OPERATION YA KUIKOMBOA CONGO TOKA MIKONONI MWA MOBUTU "" KWA CHE GUEVARA HAYO KWAKE YALIKUWA NI MAFANIKIO ...... USISAHAU KUHUSU MOTHER TERESA "" MWANAMAMA MTAWA ALIYEAMUA KUJITOLEA MAISHA YAKE YOTE KWAAJILI YA KUMTUMIKIA MUNGU ...KWA UPANDE WAKE HAYA PIA NI MAFANIKIO ..


inaonyesha umesoma lakini hujaelimika ""... bado unashindwa kumthamini mtu kwakuwa tu hana kitu ......hivi ulishawahi kujiuliza kwanini nyerere alitengenezewa nyumba na jeshi baada ya kustaafu kuiongoza nchi "" wakati alikuwa na mamlaka makubwa nchini na angeweza kustaafu huku akiwa na ukwasi wa kutosha ......???
 
Basi wewe ataukipewa majibu kwenye mtihani utafeli tu
 
Yesu mwenyewe alikufa ,hakuacha hata kibanda cha makuti,
itakuwa sam wa ukweli
 
Back
Top Bottom