Nimekosa cha kujifunza kutoka kwa marehemu Sam wa Ukweli

Nimekosa cha kujifunza kutoka kwa marehemu Sam wa Ukweli

Sam kaacha kitu cha kujifunza moja kutoka kuuza machungwa mpaka kuiona opportunity ya mziki na kuweza kupambana mpaka Mimi na wewe tukamfaham hayo ni mafanikio makubwa, unadhani angekufa akiwa muuza machungwa Leo tungemjadili? Ni vijana wangapi wanafanya kazi zisizo na tija na wanashindwa kuona opportunity mpya? Mbili Sam anaweza asikushawishi wewe ila nenda kafanye research uona ni wauza matunda wangapi aliokuwa anauza nao wamepata ushawishi? Pia kumbuka ushawishi unategemea na background ya MTU na malengo ya MTU
 
Ahahahahahahahahhaa makende ya meeeh

Hiyo kitu labda wanichanyanyie kwenye mtura aiseeeh. Ila iko siku ntaweza kuipiga kavukavu labda, mwazoni nilikuwa siwezi kula denda la ngómbe. Siku moja nikaletewa nyama imechomwa vizurii ina nyuzi nyuzi hivi kuitafuna lainii. nilipomaliza kula nikaambiwa hilo ni denda la ngómbe. Looh toka silu hiyo nikawa mdau.

Acha liwee tuu weekend hii hahahahahaha babuuu.
Ukiona hivyo ujue unakaribia kugonga kamasi la ng'ombe... tamuje sasa?
 
Mkuu kwani dunia hii wameshakufa wangapi??HAO WOTE HUWAONI LAZIMA UJIFUNZE KUPITIA SAM WA UKWELII?
 
Aaaaahhh babu banaa achaa.... nasisimkwa mwenzio hapa na hili baridi...
Usijali... hilo baridi najua dawa yake...

Nikiweka ulimi hapo kwa nyuma ya shingo... ofkozi sitang'ata... najua baridi litahama kabla hatujageukiana nimalizie kwa mbele
 
Uliburn nyimbo zake ,yeye hakupata hata senti tano leo unaulizia mafanikio yake
 
Usijali... hilo baridi najua dawa yake...

Nikiweka ulimi hapo kwa nyuma ya shingo... ofkozi sitang'ata... najua baridi litahama kabla hatujageukiana nimalizie kwa mbele

Wee hayaa tuu ujue saa ya kuadhibiana ikifika sitokuwa na aibu hata kidogo hehehehehehehehee


Nimebana mikono kwa mbele kuzuia unyevu....
 
Back
Top Bottom