Mk54
JF-Expert Member
- Dec 29, 2016
- 1,996
- 3,950
Yule msemaji ni Zwazwa kwa 100%.
Yaani ni bora hata asingedanganya, angekaa zake kimya, watu wenyewe wangejiongeza wenyewe. Sasa hii aibu ya serikali anaipeleka wapi?
Okay. Na huo ujumbe kwenye Dp yako umeweka wewe ?