Ndiyo Ukweli WenyeweImeisha hiyo
Wahindi wengi kwenye makampuni wapo nchini kimagumashi, wengi hawana vibali kabisa / vimeisha.Ucjal ndugu yangu, Mimi niliwahi pata Kwenye kampuni flan ya muhind, Ile siku naenda jaza mkataba si ndo wakajua Moja ya wadhamin Wang ni afisa uhamiaj oyaa huwez amin walinikataa Tena wakaitana kwanza wahind wote eneo lile wakaanza upya kuchambua CV Zang ndo wakajua kumbe had kwenye CV nlimuweka oyaa walinikataa wakanambia watanipigia, jion akanchek mswahili ambae ni Moja ya hr akanambia wamekukataa kwa kuwa Moja ya mdhamin wako ni uhamiaj wanahofia, had Leo Sina ham na wahindi
Acha roho ya kutuWamefyeka