Nimekosa kazi kwa mhindi sababu nimesoma UDSM

Kutakuwa na sababu nyingine tu jitathimini
 
Aisee..
Kisheria za kazi huruhusiwi kujibu kipumbavu na hii, ni kosa kisheria
Kama kweli unashahidi huo wa barua au email, kawape dili wizara ya kazi na UDSM kuwashtaki wapuuzi hao...tena kutaja UDSM ni defamation...
 
Aisee..
Kisheria za kazi huruhusiwi kujibu kipumbavu na hii, ni kosa kisheria
Kama kweli unashahidi huo wa barua au email, kawape dili wizara ya kazi na UDSM kuwashtaki wapuuzi hao...tena kutaja UDSM ni defamation...
Jf bwana!hapo umeona umeongea point.
Mwajiri ana haki kama wewe muajiriwa ulivokua na haki.Hapo mwajiri hajakosea hata kidogo.
 
Jf bwana!hapo umeona umeongea point.
Mwajiri ana haki kama wewe muajiriwa ulivokua na haki.Hapo mwajiri hajakosea hata kidogo.
Wewe mhindi akili ndogo..
Tatizo rushwa inawasaidia, umeona kutumia neno "haki" ndio umeongea cha maana kweli...
 
Aisee..
Kisheria za kazi huruhusiwi kujibu kipumbavu na hii, ni kosa kisheria
Kama kweli unashahidi huo wa barua au email, kawape dili wizara ya kazi na UDSM kuwashtaki wapuuzi hao...tena kutaja UDSM ni defamation...

Mbona walipo itwa jalalani hawa kulalamika? Wangeanza kulalamika pale walipo itwa jalalani!

Hao wahindi bora wamekua wakweli sasa ni nyie product za jalalani mjichunguze mnakwama wapi!
 
Mbona walipo itwa jalalani hawa kulalamika? Wangeanza kulalamika pale walipo itwa jalalani!

Hao wahindi bora wamekua wakweli sasa ni nyie product za jalalani mjichunguze mnakwama wapi!
Hapo ndipo unatenganisha nchi za kipuuzi, ambapo mwanasiasa uchwara yeyeto anaweza kuropoka chochote hata kama inawahusu taasi kubwa kama UDSM, halafu wanamuacha bila kumlazimisha ama kuomba msamaha hadharani au kumfungulia mashitaka ya defamation!

"Defamation is the oral or written communication of a false statement about another that unjustly harms their reputation and usually constitutes a tort or crime"
 
Wahindi wameona wa udsm huondoka hata mshahara wao huwa chini ya laki tatu
 
Unaona ni sawa mkuu?

Iko sawa, hiyo ni private company wanaangalia maslahi yao, huwezi walazimisha wewe utakavyo. Kwanza hao jamaa waungwana sana hata wameamua kujibu na wametoa sababu ambayo wao imewafanya wakutose. Kumwajiri mtu, train, halafu kumbe yeye anajiona zaidi anakimbia baada ya miezi sita ni hasara. Wao wamesoma hiyo trend wameifanyia kazi.

Sema hapo kutakuwa na HR mmoja mjinga mjinga ambaye hajasoma UDSM ana hasira na vijana wenye dharau wa UDSM kaamua kuwawekea kauzibe.
 
Kuna tangazo nililion sehemu la ajir hawtaki mwanafunzi aliyemalizA UDSM
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hcho Cha HR na kauzibe yaweza kuwa kweli hasa ukiangalia yeye kasoma chuo kata ukija wa udsm anaji Feel inferior ndio majanga kwenye haya mataasisi ya wageni wachawi wakubwa huwa ni wabongo wenzetu
 
Kuna rafiki yangu alikataliwa kazi pamoja n avigezo vyote kisa ni mnene walimuambia atakua anafikiria kula badala ya kazi wahindi na wachina kazi kweli kweli
 
Halafu sijui kwann serikali yetu iko kimya wakati inajulikana fika kama wengi wao wapo kinyume na sheria
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…