princess peter
Member
- Aug 31, 2016
- 75
- 45
Teh teh teh teh njooo uchukue zawadi yako dear...[emoji151] [emoji151] [emoji156] [emoji168]Kwanza ujue unataka wanaume wa hadhi gani middle class au upper class au washika dini . Ukishajua Hayo unajilengesha maeneo yao na si ikiita unaleta pozi jaribu bahati yako hakufai mblock piga chini tafuta mwingine [emoji23]
Ushauri mubashara kabisa huumama mtalajiwa Kwa nn umeamua kuleta Uzi huu hapa?
humu ni masimango tu unless kama unatafuta humu
usiolewe kwa fashion utajuta sana
do u pray? kama ndio unasali vipi?
now take note:ukipata mwanaume yeyote wala usioneshe maringo, ukifika nyumbani funga mlango funua biblia shika rozali saliiii mwambie mungu "kama huyu mwanaume sie nioneshe kabla sijafika mbali" trust me mungu ataonesha kila rangi zake.
ukiona ana uafadhali jiongeze mama tafuta sifa moja unayoipenda kwake iboreshe.
mfano Mimi napenda mwanaume msafi hii ndo sifa no 1 akishakuwa msafiii basi mengine utarekebisha
ni hayo tu mungu akupe wepesi
kumbe hemed ni HB?? dah nimejua leo
RIP kanumba.
Ha ha ha haya makujaTeh teh teh teh njooo uchukue zawadi yako dear...[emoji151] [emoji151] [emoji156] [emoji168]
Kwanza we mwenyewe haupo serious..... na unaposema unajiheshimi c kweli... ungekuwa unajiheshimu huwezi kuandika ishu kama hii humu ndani.....35yrs?? [emoji15] ... subir ukifika 55 utapata....sina watoto sijawai kuzaa najiheshimu sana sikupenda kuzaa nje ya ndoa
Mtani mwaka huu upo na Point za manufaa.binti kuwa na mitego ya kumvuta mwanaume umtakaye acha kulia... halafu wanaokupenda ndiyo wazuri utajifunza kumpenda .. unayempenda atakusumua mnoo
Nadhani utaenda hivi mpaka mwisho wa mwakaMtani mwaka huu upo na Point za manufaa.
Yani unatema point kinyama, nafuatilia Comment zk kila pahali.
Tathmin inaonyesha mpaka sasa wewe ndiye kwa mwaka huu umeongoza kwa kuchangia nondo mpaka muda huu ikiwa ni siku 4 tokea mwaka uanze
Teh teh teh nimeipenda hii..., jitahidi uelewe hili fumbo!tatizo MATCHING ITEM au MULTIPLE CHOICE.......?
Hahaaa!!Nadhani utaenda hivi mpaka mwisho wa mwaka
Mti pesaHahaaa!!
Vp Mkuu siku hizi bado Mti pesa au Mti mahaba??
Kama Mti mahaba basi nianze Kuapply Mtani
Hili nalo NENOOO!!!Thamani yko ni ya kawaida sn ukiona ivo coz km ungekuwa pin czan km ungekosa mwanamme
Duuuuu!!!Mti pesa
Naomba nimsaidie Mkuu tatizo ni MALTIPLE CHOICETeh teh teh nimeipenda hii..., jitahidi uelewe hili fumbo!