"Nimekosa sana, Nimekosa Mimi" - Hii ni dhihaka kwa Kanisa Katoliki na wana-CCM. Ingawa ni udhaifu wa Bunge, tutafika tu

"Nimekosa sana, Nimekosa Mimi" - Hii ni dhihaka kwa Kanisa Katoliki na wana-CCM. Ingawa ni udhaifu wa Bunge, tutafika tu

Hujui historia ya hizi dini wewe, Tafuta jisomee acha kusikiliza mapadei peke yake fanya utafiti

Utagundua yafuatayo:
Nani alitoa ardhi pale Vatikani na kwa maslahi gani utayajua hayo

Waraka wa kusema mapadri wasioe wakati hapo awali mapadri Wakatoliki walioa

Leo hii kuna kitu kinaitwa sinodi ya maaskofu, Yaani ushirika, ushiriki na umisionari unafahamu malengo yake nyuma ya pazia

Hizi dini zilikuja Afrika wakati huo kwa malengo maalum makuu mawili Rasilimali na kubadili uelekeo mpya wa utumwa toka utumwa wa mwili mpaka utumwa wa akili


Kwa sasa kanisa katoliki lina fanya reform na lina malengo hayo tangu Papa Benedikto

Hizo reform unazifahamu, Kuna makundi yanakubali na mengine yanapinga

Hoja kama kutoa mimba

Hoja za mapadri kuoa

Kuna mambo yanafukuta wewe hujui kilatini ndio tatizo


Tatizo lako hujui kilatini, Nyaraka za Vatikani nyingi huandikwa kilatini na Misa mara nyingi huongozwa kwa kilatini
Mzee we unajua kilatini? Just a question usicomplicate
 
Tarehe 29 January 2022 mbele ya ssh tutamsikia Tena akisema
NAKUUNGAMIA KWA JINA LA BUNGE LA MAZUZU .
 
Nukuu ya Prof Assad wakati akiwa CAG "Kama Bunge linashindwa kusimamia serikali huo ni udhaifu wa Bunge". CAG Assad aliitwa na Ndugai kibabe Bungeni ajieleze

Swali la Pascal Mayaalla"Je Bunge linatumika kama muhuri au rubber stamp kupitisha mambo ya serikali? "Pascal Mayalla aliitwa Bungeni kibabe na Ndugai ajieleze

Unaweza ukacheka na kukasirika kwa wakati mmoja lakini kinachowafanya waumini wa katoliki kila jumapili kabla ya sala na mahubiri kutubu kwa kutamka maneno haya:Nimekosa Mimi, Nimekosa sana ndio maana nakuomba...........

Kwa wasiofahamu hapa JF, Kila jumapili kwa Wakatoliki ni sherehe kubwa sana, Na sio dhihaka hata kidogo

Kila jumapili wakati wa Misa Wakatoliki wanaadhimisha nguzo kuu ya ukristo yaani sherehe ya Kufa na Kufufuka kwa kristo, Hivyo wanoamini kama Wakatoliki kuwa kuna ufufuo baada ya haya maisha wanatakiwa kuishi kwa toba au kutubu wakati wote yaani Nimekosa Mimi, Nimekosa sana........

Dhihaka iliyofanyika Leo mbele ya waandishi wa habari na yule mheshimiwa haikubaliki hata kidogo,

Unawezaje kutubu ukweli ambao kila mtu anaufahamu ni ukweli wa mambo kuhusu deni la Taifa?

Unawezaje kutubu na kukana kauli sahihi ambayo ulitamka mbele ya umati na maelfu ya watu?

Dhihaka kuu kabisa ni kuomba radhi wananchi kwa mambo ambayo hatujawahi kushiriki bungeni au kushirikishwa kuhusu nchi hii

Sio mara ya kwanza mheshimiwa Spika kufanya dhihaka mbele ya jamii

Aliwahi fanya dhihaka juu ya maslahi ya Tundu Lissu na hakuomba msamaha mpaka Leo hii

Aliwahi fanya dhihaka kwa CAG Prof Assad hajatubu mpaka leo

Aliwahi fanya dhihaka kwa tangazo kuwa atawashughulikia wanatoa maoni tofauti hajawahi tubu mpaka wakati huu

Wakatoliki wanapoomba toba hata siku moja hawatamki kauli kwa sauti kwa mambo walioyafanya na wala hawatangulizi risala ya kujisafisha kwanza ndio watubu makosa yao

Kitendo cha Ndugai kutanguliza hotuba na risala ndefu ili kukana kauli zake sahihi na kujisafisha haikuwa toba wala kuomba msamaha bali ilikuwa ni dhihaka kwa wana ccm na Mamlaka iliyojichimbia mzizi zaidi

Ni busara Ndugai akaachana na uspika wa Bunge au akajivua uwanachama wa ccm ili kujenga heshima yake uzeeni

Ndugai kutamka nimekosa sana, Nimekosa Mimi....... Alikuwa anatubu dhambi na kujuta kwa nani?

Ndugai kwa kutamka Nimekosa sana.... Alikuwa anahitaji nani amuombee na kumsamehe, Kuna binadamu anaweza toa msamaha na hata akitoa msamaha kwa kibali gani alichopewa wakfu wa kutoa msamaha?

Tuache dhihaka kwenye imani za watu daima tusimamie ukweli tunaouamini
1.Nimekosa mimi nisamehe Raisi
2. Video ile imtengenezwa ili kupotosha
3. Ule ulikuwa utani wa Kigogo

Kama umeomba msamaha kuna ulilotenda ambalo si jema
Kama video iliyoleta taharuki ni ya kutengeneza basi tunatakiwa ku- ignore kila kitu na maisha yaendelee
Kama ule ulikuwa ni uatani, basi ulizungumza hayo mambo kweli na hakuna video iliyotengenezwa
 
Hujui historia ya hizi dini wewe, Tafuta jisomee acha kusikiliza mapadei peke yake fanya utafiti

Utagundua yafuatayo:
Nani alitoa ardhi pale Vatikani na kwa maslahi gani utayajua hayo

Waraka wa kusema mapadri wasioe wakati hapo awali mapadri Wakatoliki walioa

Leo hii kuna kitu kinaitwa sinodi ya maaskofu, Yaani ushirika, ushiriki na umisionari unafahamu malengo yake nyuma ya pazia

Hizi dini zilikuja Afrika wakati huo kwa malengo maalum makuu mawili Rasilimali na kubadili uelekeo mpya wa utumwa toka utumwa wa mwili mpaka utumwa wa akili


Kwa sasa kanisa katoliki lina fanya reform na lina malengo hayo tangu Papa Benedikto

Hizo reform unazifahamu, Kuna makundi yanakubali na mengine yanapinga

Hoja kama kutoa mimba

Hoja za mapadri kuoa

Kuna mambo yanafukuta wewe hujui kilatini ndio tatizo


Tatizo lako hujui kilatini, Nyaraka za Vatikani nyingi huandikwa kilatini na Misa mara nyingi huongozwa kwa kilatini
Unaniambia yote haya ya kazi gani? Wapi mimi nimezungumzia historia ya kanisa katoliki?
 
Mtu mzima akivuliwa nguo........? Ila ile tone yake tu inatosha kujua kilichompata 😄😄.
Mzee wa Karpenaumu amekua piliton
Nasikia usiku kucha alikuwa na vijana wa kazi kutoka pande mbili wale wenye mavazi masafi na ya mabaka wakitambaa naye.

Alitaka kutoa msimamo wake mkali wakamwambia fanya ila badae jina laweza kubadilishwa na kubatizwa kajina kengine ka milele!

Kwanza hakutaka swali lolote toka kwa mapapalazi, pili sura na hisia havikufanana na alichokuwa anaonge.

Nadhani hajakilisha ISIDINGO yake, hii kijeshi tunaita retreating to reduce damage. Akiwa bungeni anaweza kufanya jambo tukashangaa!

Ngoja tuone nani kam-time mwenzie! Vijana wa kazi au Mkongwa mpiga mijeledi wagombea ahahha

Pole Ndugai mimi nakusifu maana efanya kisichowezekana kikawezekana! Ujumbe umefika tayari.
 
Ukishaona speaker wa Bunge ambae ni mhimili wa dola unaojitegemea ametoa msimamo wake juu ya jambo fulani halafu ghafla akamuomba msamaha Rais kwa msimamo aliotoa, jua hilo Taifa limefika mwisho na limekufa.
 
Tukitaka muhimili wa bunge uwe imara na wenye kujitegemea basi mkuu wa mwimili huu asiwe toka chama chochote cha siasa vinginevyo ni kutwanga maji kwenye kinu.

Mheshemiwa Ndugai kaona mbali na kuona japo ye ni kiongozi wa bunge ila bado ni mwanachama wa CCM hivyo wanaweza kumvua uachama na shughuri yake itakuwa imeishia hapo.

Wajuzi tumeona Mh Ndugai ametumia busara tuu ya kiutu uzima na wala sio kama alikosea.
 
Nukuu ya Prof Assad wakati akiwa CAG "Kama Bunge linashindwa kusimamia serikali huo ni udhaifu wa Bunge". CAG Assad aliitwa na Ndugai kibabe Bungeni ajieleze

Swali la Pascal Mayaalla"Je Bunge linatumika kama muhuri au rubber stamp kupitisha mambo ya serikali? "Pascal Mayalla aliitwa Bungeni kibabe na Ndugai ajieleze

Unaweza ukacheka na kukasirika kwa wakati mmoja lakini kinachowafanya waumini wa katoliki kila jumapili kabla ya sala na mahubiri kutubu kwa kutamka maneno haya:Nimekosa Mimi, Nimekosa sana ndio maana nakuomba...........

Kwa wasiofahamu hapa JF, Kila jumapili kwa Wakatoliki ni sherehe kubwa sana, Na sio dhihaka hata kidogo

Kila jumapili wakati wa Misa Wakatoliki wanaadhimisha nguzo kuu ya ukristo yaani sherehe ya Kufa na Kufufuka kwa kristo, Hivyo wanoamini kama Wakatoliki kuwa kuna ufufuo baada ya haya maisha wanatakiwa kuishi kwa toba au kutubu wakati wote yaani Nimekosa Mimi, Nimekosa sana........

Dhihaka iliyofanyika Leo mbele ya waandishi wa habari na yule mheshimiwa haikubaliki hata kidogo,

Unawezaje kutubu ukweli ambao kila mtu anaufahamu ni ukweli wa mambo kuhusu deni la Taifa?

Unawezaje kutubu na kukana kauli sahihi ambayo ulitamka mbele ya umati na maelfu ya watu?

Dhihaka kuu kabisa ni kuomba radhi wananchi kwa mambo ambayo hatujawahi kushiriki bungeni au kushirikishwa kuhusu nchi hii

Sio mara ya kwanza mheshimiwa Spika kufanya dhihaka mbele ya jamii

Aliwahi fanya dhihaka juu ya maslahi ya Tundu Lissu na hakuomba msamaha mpaka Leo hii

Aliwahi fanya dhihaka kwa CAG Prof Assad hajatubu mpaka leo

Aliwahi fanya dhihaka kwa tangazo kuwa atawashughulikia wanatoa maoni tofauti hajawahi tubu mpaka wakati huu

Wakatoliki wanapoomba toba hata siku moja hawatamki kauli kwa sauti kwa mambo walioyafanya na wala hawatangulizi risala ya kujisafisha kwanza ndio watubu makosa yao

Kitendo cha Ndugai kutanguliza hotuba na risala ndefu ili kukana kauli zake sahihi na kujisafisha haikuwa toba wala kuomba msamaha bali ilikuwa ni dhihaka kwa wana ccm na Mamlaka iliyojichimbia mzizi zaidi

Ni busara Ndugai akaachana na uspika wa Bunge au akajivua uwanachama wa ccm ili kujenga heshima yake uzeeni

Ndugai kutamka nimekosa sana, Nimekosa Mimi....... Alikuwa anatubu dhambi na kujuta kwa nani?

Ndugai kwa kutamka Nimekosa sana.... Alikuwa anahitaji nani amuombee na kumsamehe, Kuna binadamu anaweza toa msamaha na hata akitoa msamaha kwa kibali gani alichopewa wakfu wa kutoa msamaha?

Tuache dhihaka kwenye imani za watu daima tusimamie ukweli tunaouamini
tangu mwanzo wengine tulijua ndugai akili yake haiko sawa.kwanza mm nilishangaa sana wabunge walipomchagua kuwa spika wao.wasomi wazima kumchagua huyu bwana kuwa kiongozi wao hata maprofesa?ilinishangaza sana ndipo nilipoanza kujua tz hatuna wasomi bali wababaishaji tu.
 
Ukishaona speaker wa Bunge ambae ni mhimili wa dola unaojitegemea ametoa msimamo wake juu ya jambo fulani halafu ghafla akamuomba msamaha Rais kwa msimamo aliotoa, jua hilo Taifa limefika mwisho na limekufa.
ni kituko na haijawahi tokea ktk nchi yoyote dunia bali tz tu.
 
😁😁😁👇
 
ni kituko na haijawahi tokea ktk nchi yoyote dunia bali tz tu.
Hapa ni Speaker wa Bunge la Marekani Nancy Pelosi akiichana hotuba ya Trump baada ya kutofautiana na Rais.

Haya ndiyo mambo yanayopaswa kuonekana katika nchi ili mihimili ionekane waziwazi kuwa kweli ipo huru.
 
Nasikia usiku kucha alikuwa na vijana wa kazi kutoka pande mbili wale wenye mavazi masafi na ya mabaka wakitambaa naye.

Alitaka kutoa msimamo wake mkali wakamwambia fanya ila badae jina laweza kubadilishwa na kubatizwa kajina kengine ka milele!

Kwanza hakutaka swali lolote toka kwa mapapalazi, pili sura na hisia havikufanana na alichokuwa anaonge.

Nadhani hajakilisha ISIDINGO yake, hii kijeshi tunaita retreating to reduce damage. Akiwa bungeni anaweza kufanya jambo tukashangaa!

Ngoja tuone nani kam-time mwenzie! Vijana wa kazi au Mkongwa mpiga mijeledi wagombea ahahha

Pole Ndugai mimi nakusifu maana efanya kisichowezekana kikawezekana! Ujumbe umefika tayari.
Haya maisha bana, japo jamaa aliongea sawa, ila alisahau kuwa kuna mhimili uliojichimbia zaidi.
 
Kwa hiyo ndugai ana recite sala ya 'nakuungamia' ili abembeleze msamaha kwa mama.
 
Ukishaona speaker wa Bunge ambae ni mhimili wa dola unaojitegemea ametoa msimamo wake juu ya jambo fulani halafu ghafla akamuomba msamaha Rais kwa msimamo aliotoa, jua hilo Taifa limefika mwisho na limekufa.
Ndiyo tamaa yenu hii,yatokee mabaya tu ili mpate Cha kusema...Hama nchi uepuke taifa mfu!
 
Nukuu ya Prof Assad wakati akiwa CAG "Kama Bunge linashindwa kusimamia serikali huo ni udhaifu wa Bunge". CAG Assad aliitwa na Ndugai kibabe Bungeni ajieleze

Swali la Pascal Mayaalla"Je Bunge linatumika kama muhuri au rubber stamp kupitisha mambo ya serikali? "Pascal Mayalla aliitwa Bungeni kibabe na Ndugai ajieleze

Unaweza ukacheka na kukasirika kwa wakati mmoja lakini kinachowafanya waumini wa katoliki kila jumapili kabla ya sala na mahubiri kutubu kwa kutamka maneno haya:Nimekosa Mimi, Nimekosa sana ndio maana nakuomba...........

Kwa wasiofahamu hapa JF, Kila jumapili kwa Wakatoliki ni sherehe kubwa sana, Na sio dhihaka hata kidogo

Kila jumapili wakati wa Misa Wakatoliki wanaadhimisha nguzo kuu ya ukristo yaani sherehe ya Kufa na Kufufuka kwa kristo, Hivyo wanoamini kama Wakatoliki kuwa kuna ufufuo baada ya haya maisha wanatakiwa kuishi kwa toba au kutubu wakati wote yaani Nimekosa Mimi, Nimekosa sana........

Dhihaka iliyofanyika Leo mbele ya waandishi wa habari na yule mheshimiwa haikubaliki hata kidogo,

Unawezaje kutubu ukweli ambao kila mtu anaufahamu ni ukweli wa mambo kuhusu deni la Taifa?

Unawezaje kutubu na kukana kauli sahihi ambayo ulitamka mbele ya umati na maelfu ya watu?

Dhihaka kuu kabisa ni kuomba radhi wananchi kwa mambo ambayo hatujawahi kushiriki bungeni au kushirikishwa kuhusu nchi hii

Sio mara ya kwanza mheshimiwa Spika kufanya dhihaka mbele ya jamii

Aliwahi fanya dhihaka juu ya maslahi ya Tundu Lissu na hakuomba msamaha mpaka Leo hii

Aliwahi fanya dhihaka kwa CAG Prof Assad hajatubu mpaka leo

Aliwahi fanya dhihaka kwa tangazo kuwa atawashughulikia wanatoa maoni tofauti hajawahi tubu mpaka wakati huu

Wakatoliki wanapoomba toba hata siku moja hawatamki kauli kwa sauti kwa mambo walioyafanya na wala hawatangulizi risala ya kujisafisha kwanza ndio watubu makosa yao

Kitendo cha Ndugai kutanguliza hotuba na risala ndefu ili kukana kauli zake sahihi na kujisafisha haikuwa toba wala kuomba msamaha bali ilikuwa ni dhihaka kwa wana ccm na Mamlaka iliyojichimbia mzizi zaidi

Ni busara Ndugai akaachana na uspika wa Bunge au akajivua uwanachama wa ccm ili kujenga heshima yake uzeeni

Ndugai kutamka nimekosa sana, Nimekosa Mimi....... Alikuwa anatubu dhambi na kujuta kwa nani?

Ndugai kwa kutamka Nimekosa sana.... Alikuwa anahitaji nani amuombee na kumsamehe, Kuna binadamu anaweza toa msamaha na hata akitoa msamaha kwa kibali gani alichopewa wakfu wa kutoa msamaha?

Tuache dhihaka kwenye imani za watu daima tusimamie ukweli tunaouamini
Ukiwa sio msafi huwez kuwa na msimamo na spika lazima ajishushe na awe dhaifu #tunataka katiba mpya#
 
Back
Top Bottom